mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,036
Siyo kweli, hizo ni hospitali na kuna saa za kuona wagonjwa!! We jiandae tu na PPE yako ukaangalie wagonjwa. Uwapelekee na matunda nkNgonjera za wanasiasa hizo ,sehemu zote zinalindwa na JKT na hautakiwi kurandaranda katika hayo maeneo uliyoyataja!!