Matumbulu
JF-Expert Member
- Jan 5, 2009
- 316
- 264
Kwa taarifa hiii, Naacha kuvaa Barakoa Muda wote, na sasa nitasalimia watu kwa kuwashika mikono kama kawaida , na pia nitajichanganya kwenye mikusanyiko ya watu kama kawaida.Kubali au kataa Rais Magufuli atakuja kuwa shujaa katika kupambana na kusambaa kwa maambukizi ya COVID-19 kwa jinsi ya maagizo yake. Anaweza kuwa siyo mwanasiasa mzuri lakini hakuna shaka anaitendea haki taaluma yake sayansi ya kemia. Ebu sikiliza wanasayansi wenzake wanavyosema baada ya tafiti zao.
Kilichomtoa dar ni nini?...…….. Si angewezakuwa anatuhutubia kutoka chumbani kwake Dar? ……………..Kweli haina maana kufunga shule na vyuo wakati shughuli zingine zinaendelea kama kawaida.
Na yeye atoke arudi ikulu kufanya kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa taarifa hiii, Nacha kuvaa Brakoa Mua wote, na nashika watu mikono kwa kusalimiana nao kama kawaida, na pia nitajichanganya kwenye mikusanyiko ya watu kama kawaida.
Magufuli was Right ,na alikuwa na Point japo hakujuwa jinsi ya ku express idea yake kwa jamii na inaonesha hawa jamaa ,Wazungu wana ajenda kubwa kwa wqatu duniani.
UJINGA WETU UTATUMALIZA KWA VITISHO VYA WATU WAOVU JINSI WALIVYO TUKAMIA KUTUMALIZA
Poleni sana. lakini IMEANDIKWA 2 Timotheo 4:3-4 Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajipatia waalimu makundi makundi, kwa kuwa wana masikio ya utafiti; nao watajiepusha wasisikie yalio kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo. AmenBasi wewe endelea kuomboleza hivyo vifo na huyo kigogo tuache sisi tuchape kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilishawahi kutokea kukaa siku 50 bila kutoka magogoni zaidi ya kwenda kanisani?Kilichomtoa dar ni nini?...…….. Si angewezakuwa anatuhutubia kutoka chumbani kwake Dar? ……………..
Watunzi wa hadithi wanazidi kuwa wengi sana ili kujaribu kunogesha mapambio yaliyochacha, kuchoka na kuchosha.yapo mambo namuunga mkono moja kwa moja tunao watendaji wengine wenye dhamana lkn hawawajibiki ipasavyo kiasi wanasababisha vifo na taharuki kwa kuwa wanajifanya kama vile HATUISHI NAO.
Mfano mnazuia maiti na kuzizika nyinyi kwa kisingizio maiti itaeneza Corona, hili halijakaa sawa hata kidogo.
Mm naandika haya nikiwa Mhanga wa ugonjwa huu , na nasema wazi nilikuwa naogopa sana kuwekwa karantini hospital niliamini ndiyo kifo changu kitakuwa huko.
Nami nilipambana na mke wangu na jamaa zangu kwa kujifukiza, chai ya tangawizi ,limao, karafuu , pamoja na lishe ya mfululizo, bahati nzr sikuwa na magonjwa mengine nyemelezi.
Hosp, wanatakiwa madaktari, wauguzi na ndugu na jamaa wanatakiwa waungane kwa pamoja kumuuguza mgonjwa.
Mh Maghufuli ( PERMASHARP) siyo siri anatufanya tubadirike, kiutendaji na kimtazamo. Tuache kukariri na kufanya mambo kwa mazoea.
Wewe unaona ni sahihi kiongozi kufanyia kazi getoni kwake ?Kilichomtoa dar ni nini?...…….. Si angewezakuwa anatuhutubia kutoka chumbani kwake Dar? ……………..
Aibu naona mimiBwana Magufuli wewe ni kiongozi wa mfano
Unatizama mbali na wala hupelekeshwi na mihemuko ya watu wachache
Nakupongeza kwa mapambano yako kuukomesha utumwa wa kifikra pamoja na kutokumbatia njama za ukoloni mamboleo.
Pongezi zako zikufikie kwa kutangaza kufungua kandanda na vyuo ili vijana wetu wasome na taifa lipate wataalam
Kweli maamuzi yako ya kufungua vyuo wiki ijayo yamepokelewa na dhati kubwa na watanzania wengi wenye maono kama wewe mheshimiwa Raised
Leo nimekuwa mwanaCCM kwasababu ya akili yako kubwa.
Hata Trump anakimbilia deep south kwenye supporters wengiMbona anapenda sana kukimbilia kanisani...
Hata mimi kwa ile hotuba naondoka zangu Chadema naenda Ccm
Nimechoka kuitwa nyumbu kwa Kweli
Duh! Aisee hizi lawama zengine.Ni sawa, mbona Makonda alimsema mtoto wa Mbowe....Vipi kuhusu huyo wa Magufuli mbona hakupelekwa kwenye vituo vya isolation kama wengine? Mkuki kwa Nguruwe kwa binadamu ni uchungu. Acheni double standard, tendeni haki ninyi watu.
Wakazawadiwa kwa kufanikisha maigizoKatika akiri tu Ya kawaida, kwa kipindi hiki huwezi kwenda kwenye sehemu ya mikusanyiko mikubwa ukakuta hakuna alievaa mask ,kitu kingne sidhani kuwa kwenye kikao cha rais unaweza kuruhusiwa kuingia pasipo kuvaa mask.
Picha zinaonesha kuwa watu wote hawakuvaa mask, hiii maaana yake wote walikatazwa wasivae?na kwa nini walikatazwa wasivae mask? Ni Kwa faida ipi? Inamaaana watu hawa walipangwa na Kama walipangwa nikuwa kuna usaniii Mkubwa unafanyika tena usaniii ambao hujui kwa nini unafanyika, Mimi nashindwa hata kuelewa, why inafanyika hivyo? Nikwa ajiri ya kumfurahisha mtu Fulani Au nikwa ajiri ya kumkomoa mtu au ni kutaka kulazimisha kuwa hakuna tatizo? Ila kwa levo ya Yule kiutawala haya mambo hayastahili ayafanye bhana, haya huwa yanafanywa na watoto
Kufanya hivyo hata utakayoyaongea kwa watu wenye akiri wataona kuwa ni usaniii tu, maaaana Kama umefanya hivi kuwaambia watu waingie pasipo masks utashindwa nini kudanganya? Hiii imenifikirisha Sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati Kikwete ni Rais ulikuwa bado kuzaliwa?Hivi kwann Magufuli akiongea kitu nchi inasimama inamjadili yeye tu.
Wewe unaona ni sahihi kiongozi kufanyia kazi getoni kwake ?
Kwani hapo mm nimetaja Dar ?