Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,408
- 25,926
Magufuli nampenda sana rais wangu, kukiwa na corona yeye huwa anajiepusha na misongamano kwa kwenda zake chato kujipa pumziko.Ajabu kidogo, watu wenye ufahamu wamekaa kulalamika kwenye mitandao wakati maelekezo ta WHO yapo na wanaweza kuyapata humu mitandaoni. Vaa maski, epuka misongamano, osha mikono kila wakati, waelezee uwapendao umuhimu wa haya na endelea na maisha.