Faraja vitalis
Member
- Mar 24, 2020
- 44
- 87
Habari zenu wana jf.lengo la hii thread nilitaka kuuliza kuhusiana na hii hoja ambayo imetolewa na c.c.m chini ya rais magufuli juu ya kutotoa amri ya watanzania kubaki nyumbani(lockdown) watuhumiwa wakubwa wa ni upande wa upinzani ndio waliotoa hoja hii.naombeni toka kwenu mnijuze ni nani na lini kiongozi wa upinzani alitowa tamko hili.