Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,488
- 86,004
AsanteAti Nyerere hakuwah zungumza toka butiama pole
AsanteAti Nyerere hakuwah zungumza toka butiama pole
Ungemalizia na JK usiedit bwashee!Mbio to chattle! View attachment 1426720
Kwani kuna ubaya gani akiongelea sebuleni kwake?anaongea live kutokea Sebuleni kwake Chato.
Maana hakujawahi kuwa na Ikulu Chato.
Kuna ubaya kwani urais ni wa nyumbani kwake?Kwani kuna ubaya gani akiongelea sebuleni kwake?
Masaa ya kiswahili haya, Ukute ataongea Saa 11 Jioni....Anasemaje!
5/5
Mishahara nayo itakata...Jiamdaeni kufungiwa ndani
Masaa ya kiswahili haya, Ukute ataongea Saa 11 Jioni....
The problem with you guys is that; you're too pessimists. Kwa hiyo chato siyo Tanzania?(Ikulu Chato). Only in Tanzania.
Darasa la pili A.Kwani vipi ?