Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Waswahili tunapenda sana mteremko na kazi ngumu hatutaki, tunapenda vilivyojengwa na wengine, ndo maana wanataka kung'ang'ania Dar ambayo tayari ilishajengwa kwa sehemu kubwa na Muzungu, Waarabu na Wahindi, sasa Waswahili tunajenga Mji wetu wenyewe Dodoma, wavivu wameshaanza kuchonga midomo!
Hivyo Raisi wangu Magufuli nafikiri tayari umeshatufahamu, hivyo kama ulivyofanya kwenye fao la kujitoa hakikisha pia hapa kwenye kuhamia Dodoma mpaka inapofika 2025 umeshafika mbali kiasi kwamba mvivu atakayekuja 2025 ambaye najua atataka arudi Dar ashindwe pa kuanzia, hiyo ndo dawa ya Mswahili mvivu!
Kwenye fao la kujitoa bila ya wewe hakuna ambaye angeweza kufanya uamuzi mgumu na muhimu kama ule, na mpaka 2025 hata akija mvivu hawezi kurudisha fao la kujitoa kwani itakuwa chaos na haitawezekana tena, hivyo na Dodoma fanya hivyo hivyo vinginevyo huyo Mji hakuna mvivu atayehamia, bila ya wewe kuwa ngangari, najua unaweza raisi wangu!
Mimi Askari wako!
Hivyo Raisi wangu Magufuli nafikiri tayari umeshatufahamu, hivyo kama ulivyofanya kwenye fao la kujitoa hakikisha pia hapa kwenye kuhamia Dodoma mpaka inapofika 2025 umeshafika mbali kiasi kwamba mvivu atakayekuja 2025 ambaye najua atataka arudi Dar ashindwe pa kuanzia, hiyo ndo dawa ya Mswahili mvivu!
Kwenye fao la kujitoa bila ya wewe hakuna ambaye angeweza kufanya uamuzi mgumu na muhimu kama ule, na mpaka 2025 hata akija mvivu hawezi kurudisha fao la kujitoa kwani itakuwa chaos na haitawezekana tena, hivyo na Dodoma fanya hivyo hivyo vinginevyo huyo Mji hakuna mvivu atayehamia, bila ya wewe kuwa ngangari, najua unaweza raisi wangu!
Mimi Askari wako!