Rais Magufuli hajavunja Katiba kumteua CAG mpya, tatizo ni Kiingereza kilichotumika kwenye Katiba

Ni kweli lkn umesahau la sivyo unajitia upofu wa makusudi. Katiba imeweka utaratibu maalamu, endapo kwa namna zilivyoainishwa "zingatia" kikatiba kama Rais aataona kuna sababu ya kutoendelea baada ya hiyo miaka Mitano Naye hajafika umri wa kustaafu! Upo utaratibu wa kumwondoa toka nafasi hiyo.
Hizo taratibu zinafuatwa ikiwa CAG anafukuzwa kazi. Full stop. Yaani kama anaachishwa kazi kabla kumaliza kipindi chochote cha miaka 5. Iwe ni kipindi cha kwanza au cha pili n.k
 
Zitto amesema Rais amevunja katiba, unalizungumziaje hili Mwl. Kashasha
Hilo lipo wazi kwa kuwa mchezaji mmoja alifanyiwa OBSTRUCTION na ndipo mpira ukamkuta mfungaji ambaye tayari alikuwa ameotea (OFFSIDE). Hii kwa lugha nyingine tunaiita abuse of football.

Kwako Jesse
 
Kumbe unajua eeh!! Hakuna wa kushindana na Mh. Rais Magufuli kwa kuwa ni mchapa kazi na watz wengi wanamkubali sana. Wapinzani wake sasa wamebaki kumwombea kifo tu kama wewe unavyofanya sasa hivi lakini kumbuka unaweza anza wewe kufa kwanza Mungu hapangiwi.
Usijitoe akili, ni Polisi, TISS, TPDF na NEC ndiyo vinamuweka madarakani. Otherwise hata akishindanishwa na Dovutwa au Hashim Rungwe hapenyi.
 
Hilo lipo wazi kwa kuwa mchezaji mmoja alifanyiwa OBSTRUCTION na ndipo mpira ukamkuta mfungaji ambaye tayari alikuwa ameotea (OFFSIDE). Hii kwa lugha nyingine tunaiita abuse of football.

Kwako Jesse
VAR (prof. Shivji) imetoa jibu katiba haijavunjwa sijui Tunu Shenkome anasemaje
 
Huyu Jiwe ataondolewa na kifo tu madarakani lakini siyo sanduku la kura.
Na kweli imetokea, kauli ya hapo juu Ni ya Nov 2019 baada ya kuiba kura za Serikali za Mitaa. Akarudia tena Mwaka 2020 akaiba kura zote za Utais na Ubunge
 
Back
Top Bottom