Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Ahaaaa, haina noma kamanda.Runinga sio luninga ikikushida kuandika weka TV ina tosha
Ahaaaa, haina noma kamanda.Runinga sio luninga ikikushida kuandika weka TV ina tosha
MuuajiNi wazi tajiri huyu ameitekeleza kwa vitendo Sera ya Tanzania ya Viwanda.
Ni kweli tajiri huyu alikuwa miongoni mwa walipa kodi wakubwa
Inaelezwa kuwa ni mmoja wa wafadhili wa Chama Cha Mapinduzi
Patel ametoa ajira kwa Watanzania wengi na vibarua wakutosha hili halina ubishi
Lakini mbona Rais yuko kimya, hata kutuma kijitwiti cha kusikitishwa na kifo chake?
Au Nasema Uongo Ndugu Zangu?