Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,117
- 3,040
Wazo la Masele ni la kijinga sana Magufuli hana muda wa mwekezaji kuja kuwekeza mabembea
Watanzania wanatakiwa wachape kazi kama kauli mbiu inavyosema
Mabembea😳😳😳😳nyinyi Msio na exposure ndio mnampotosha mh Raisi na ndio wengi mmejaa serikalini nani kakudanganya Disney land its all about mabembea tu??
I travelled all the way to USA and France kwenda Disney land tu na unajua how much Ina cost as an entrance ?Husiongee husichokijua