Rais Magufuli chonde chonde muite Stephen Masele akupe wazo lake

Hilo pori nalifahamu vizuri sana.

Actually nyumba yetu ipo pembeni mwa barabara iendayo huko na kuna kipindi walitaka kuibomoa ili wapate nafasi zaidi ya kujenga barabara ya lami kuelekea huko. Ila mpaka sasa sijasikia chochote kuhusiana na hilo.
I hope plan inaendelea lami kutoka Bariadi via Mkula,Nyamikoma,MASEWA,DUTWAA (kuna majabali mazuri sana) ..Kuna landscape nzuri sana Mwakibuga ,IGEGU

Ila LAMADI inakuwa kwa kasi sana Poti
 
Hilo pori nalifahamu vizuri sana.

Actually nyumba yetu ipo pembeni mwa barabara iendayo huko na kuna kipindi walitaka kuibomoa ili wapate nafasi zaidi ya kujenga barabara ya lami kuelekea huko. Ila mpaka sasa sijasikia chochote kuhusiana na hilo.
I hope plan inaendelea lami kutoka Bariadi via Mkula,Nyamikoma,MASEWA,DUTWAA (kuna majabali mazuri sana) ..Kuna landscape nzuri sana Mwakibuga ,IGEGU

Ila LAMADI inakuwa kwa kasi sana Poti
 
Hawawezi kuja kwenye nchi ambayo katiba inavunjwa na rais mwenyewe kwa maslahi & chuki yake binafsi
mwekezaji serious anaangalia pesa tu atakayopata hayo menginebe hayamhusu bdio maana unaona makampuni ya simu,migodi kibao ya wawekezaji toka nje na tenda kibao za ujenzi iwe mabarabara ,reli nk wao ndio wanafanya


Wao hawali katiba Kwao cash is a king usidhani Kika mwekezaji anahangaika na katiba

Na Nchi nyingine katiba hawana kabisa mfano uingereza haina katiba ya nchi kabisa ukiongelea katiba ya nchi mwingereza anakuona bwege tu

Hata Israel haina katiba ya nchi hawajui hata Ni kitu gani

China yenyewe walishaapa siku nyingi just wao popote waendapo kuwekeza hawahangaiki na mambo ya ndani ya nchi wao Ni kuwekeza na kufanya biashara tu ndio maana Sasa hivi tishio kea dunia

Nchi nyingi zimeanza kufunga virago kuhangaikia na mambo ya ndani ya nchi zingine wanahangaika na uchumi na biashara tu ndio maana hata funding kea vi NGO nyingi zimepungua na NGO nyingi zinakufa kwa kukosa funds sababu diplomasia ya kimataifa imehamia kwenye msisitizo wa diplomasia ya uchumi na biashara tu hizo porojo za sijui katiba Nini zisizo za kibiashara na kiuchumi hawana muda nazo
 
I hope plan inaendelea lami kutoka Bariadi via Mkula,Nyamikoma,MASEWA,DUTWAA (kuna majabali mazuri sana) ..Kuna landscape nzuri sana Mwakibuga ,IGEGU

Ila LAMADI inakuwa kwa kasi sana Poti
Yeah, Lamadi inaenda kuwa ‘center’ flani hivi.
Naipenda sana Simiyu.
 
mwekezaji serious anaangalia pesa tu atakayopata hayo menginebe hayamhusu bdio maana unaona makampuni ya simu,migodi kibao ya wawekezaji toka nje na tenda kibao za ujenzi iwe mabarabara ,reli nk wao ndio wanafanya


Wao hawali katiba Kwao cash is a king usidhani Kika mwekezaji anahangaika na katiba

Na Nchi nyingine katiba hawana kabisa mfano uingereza haina katiba ya nchi kabisa ukiongelea katiba ya nchi mwingereza anakuona bwege tu

Hata Israel haina katiba ya nchi hawajui hata Ni kitu gani

China yenyewe walishaapa siku nyingi just wao popote waendapo kuwekeza hawahangaiki na mambo ya ndani ya nchi wao Ni kuwekeza na kufanya biashara tu ndio maana Sasa hivi tishio kea dunia

Nchi nyingi zimeanza kufunga virago kuhangaikia na mambo ya ndani ya nchi zingine wanahangaika na uchumi na biashara tu ndio maana hata funding kea vi NGO nyingi zimepungua na NGO nyingi zinakufa kwa kukosa funds sababu diplomasia ya kimataifa imehamia kwenye msisitizo wa diplomasia ya uchumi na biashara tu hizo porojo za sijui katiba Nini zisizo za kibiashara na kiuchumi hawana muda nazo
Ficha ujinga wako.
Mahali ambapo hujui mtawala ataamkaje na kuvunja mkata au hata kubadili sheria kiholela huwexi kuwekeza kwa amani, mmefeli sana hata mzee wa Msoga kawapiga bao ktk kuvutia wawekezaji
 
Ficha ujinga wako.
Mahali ambapo hujui mtawala ataamkaje na kuvunja mkata au hata kubadili sheria kiholela huwexi kuwekeza kwa amani, mmefeli sana hata mzee wa Msoga kawapiga bao ktk kuvutia wawekezaji
Wawekezaji huwa hawavutwi hata uwe na mvuto vipi wao huangalia tu Kama Waweza pata faida Hapo ndio maana hata sehemu zisizo na amani zenye vita kutwa Kama Kongo Kuna wawekezaji kibao migodini migodi ya madini hawajali ukosefu wa amani uliopo
 
Wako bize na namna ya kumzuia lissu .

Wakijashtuka dili kama hizo zinayeyuka hivi hivi .

Hapo watanzania wangepata ajira,wangepata Kodi ,wangepata watalii na movie makers wengekuja hapo

Ila wako bize na chadema
Mwekezaji serious Hana kelele za kutaka kuonana na Raisi huenda ubalozini kwake au ubalozi wa Tanzania kupata taatifa za uwekezaji na procedure Kisha straight huenda kuanza procedure

Hakuna nchi yeyote duniani inayosema ili uwekeze kwenye nchi unatakiwa ukamuone Raisi umpe wazo la biashara!!!

Masele awapelekee procedures Kama hawezi basi awape tu website ya kituo Cha uwekezaji yaliyobaki watamaliza wenyewe na bodi Yao kuwa wawekeze au la

Hizi porojo za kutaka kumwona Raisi Ni utoto wa kutaka kuuza sura ikulu tu
 
Disneyland au Walt Disney Company?

Disneyland ni entertainment resort ambayo ipo Anaheim, California, sawa na Disney World iliyopo Florida.

Ni kampuni tanzu za Walt Disney Company....
Hebu mtuelishe wengine ambao hatjajua hiyo kampuni inafanya Nini?
 
Nilisoma kwenye mitandao Stephen Masele amekubaliana na kampuni ya Disneyland kuja kuwekeza Simiyu nilishangaa sana.

Labda ilikuwa uzushi ..
Uwekezaji wa dollars zaidi ya bilioni 10 uishie Kwa mbunge..

Lakini vyovyote vile idea ya kuwaleta Disneyland kuwekeza ni golden idea ...kama kweli Masele alianza mchakato already basi Magufuli amuite Masele abebe hili wazo likamilike kabla Wakenya hawajaliiba tukabaki tunalia kama mayatima..

Disneyland wakija hatutazungumza tena watalii Milioni moja
Tutakuwa tunazungumzia watalii kuanzia milioni 10 na kuendelea..
Barabara ngapi zitajengwa?
Madaraja mangapi?
Sgr? ...

Nchi haitahitaji tena wafadhili kwenye Bajeti...ni game changer
Hata Dubai walijaribu kuwavuta Disneyland hawajafanikiwa..Sisi tukifanikiwa ni mwisho WA umasikini tukipata Viongozi wazalendo...

Masele kama kweli ana wazo hili asiachwe wazo lake likapotea..

Wishful thinking

Amandla...
 
Nilisoma kwenye mitandao Stephen Masele amekubaliana na kampuni ya Disneyland kuja kuwekeza Simiyu nilishangaa sana.

Labda ilikuwa uzushi ..
Uwekezaji wa dollars zaidi ya bilioni 10 uishie Kwa mbunge..

Lakini vyovyote vile idea ya kuwaleta Disneyland kuwekeza ni golden idea ...kama kweli Masele alianza mchakato already basi Magufuli amuite Masele abebe hili wazo likamilike kabla Wakenya hawajaliiba tukabaki tunalia kama mayatima..

Disneyland wakija hatutazungumza tena watalii Milioni moja
Tutakuwa tunazungumzia watalii kuanzia milioni 10 na kuendelea..
Barabara ngapi zitajengwa?
Madaraja mangapi?
Sgr? ...

Nchi haitahitaji tena wafadhili kwenye Bajeti...ni game changer
Hata Dubai walijaribu kuwavuta Disneyland hawajafanikiwa..Sisi tukifanikiwa ni mwisho WA umasikini tukipata Viongozi wazalendo...

Masele kama kweli ana wazo hili asiachwe wazo lake likapotea..
Jiniasi wa ccm , Yesu wa Tanzania ashauriwe na masele hebu acha utani , inategemea ameamkaje.
 
Wawekezaji huwa hawavutwi hata uwe na mvuto vipi wao huangalia tu Kama Waweza pata faida Hapo ndio maana hata sehemu zisizo na amani zenye vita kutwa Kama Kongo Kuna wawekezaji kibao migodini migodi ya madini hawajali ukosefu wa amani uliopo

Chief, waliojazana migodi ya Congo DRC huwezi kuwaita wawekezaji bali wanyonyaji na ndio maana hawajali kabisa mapigano yanayoendelea huko! (Na mengine vyanzo ni wao wenyewe!)

Nadhani Wawekezaji katika nchi yoyote wanahitaji msingi imara (Sheria , Miongozo, Taratibu + Katiba) itakayolinda uwekezaji wao, japo wengine hutumia Misingi hiyohiyo kuzinyonya nchi husika! (Uzalendo + Umakini viungo muhimu!)

Ila still bado wanahitajika wawekezaji kwenye nyanja mbali mbali hapa nchini ili kupanua wigo wa ajira, biashara na vipato sio tu kwa Serikali kama hizo kampuni za simu ulizosema, lakini pia kwa mwananchi wa kawaida kabisa.

I support the Disney Africa Only Theme park Investment!!
 
Back
Top Bottom