Rais Magufuli chapa kazi, Lissu acha uongo

ruby garnet

JF-Expert Member
Apr 10, 2017
2,860
3,810
Wana JF,

Nilisikiliza report ya mchanga wa madini zaidi ya mara mbili. pia nimemusikiliza lissu zaidi ya mara mbili. Ukweli ni kwamba swala la mchanga siyo la kisheria na mikataba tulioingia na migodi mbalimbali hapa inchini kwetu. Swala la michanga nilakiutekelezaji wa mikataba tulioingia na wawekezaji katika sekta ya madini.
katika mikataba ya madini inajulikana kuwa tunapaswa kuchukua

1) Mrahaba (royalty) katika uchukuaji wa mrahaba ni asilimia 4% ya uzalishaji wa dhahabu yote.

2) Pia corparate taxe ambayo ni 30% ya faida yao.

Kutokana na hayo sheria inaruhusu Maafisa madini na mtu yeyote aliyeteuliwa na serikali kwenda kuhakiki uzalishaji wao ili tupate haki zetu. Kwa maana hiyo Kamati ya Rais Magufuli ilikuwa inachunguza uzalishaji na mali zilizokuwa zinachimbwa na kusafilishwa na ACACIA. Na katika report ya mchanga wa madini hakuna sehemu ilioonyesha wizi huo ni wakimukataba au wa kisheria na pia kufanya uchunguzi huo siyo kinyume cha mkataba na katika upotevu wote ulioonekana kutokana na report inaonyesha ni uzembe wa serikali yetu kusimamia mali zetu wenyewe.

Kutokana na haya rais wetu anapaswa kuwachukua ACACIA na kufanya nao uchunguzi wa wazi ili wote kwa pamoja wajilizishe na kama itaonekana ni kweli wametuibia kwa pamoja ni sisi watanzania tutawadai watulipe walichotuibia na kama watagoma tutawapeleka huko kwenye mahaka tukawashitake kwa kutuibia na katika uozo wote huu haujahusiana na ubovu wa mikataba bali uzembe wa serikaliiiiiiii yetuuuuuuuuu.
 
Wana FJ.
Nilisikiliza report ya mchanga wa madini zaidi ya mara mbili. pia nimemusikiliza lissu zaidi ya mara mbili. ukweri ni kwamba swala la mchanga siyo la kisheria na mikataba tulioingia na migodi mbalimbali hapa inchini kwetu.
Swala la michanga nilakiutekelezaji wa mikataba tulioingia na wawekezaji katika sekta ya madini.
katika mikataba ya madini inajulikana kuwa tunapaswa kuchukua

1) Mrahaba (royalty) katika uchukuaji wa mrahaba ni asilimia 4% ya uzalishaji wa dhahabu yote

2)Pia corparate taxe ambayo ni 30% ya faida yao.

kutokana na hayo sheria inaruhusu maafisa madini na mtu yeyote aliyeteuliwa na serikali kwenda kuhakiki uzalishaji wao ili tupate haki zetu.
kwa maana hiyo Kamati ya magufuli ilikuwa inachunguza uzalishaji na mali zilizokuwa zinachimbwa na kusafilishwa na ACACIA. Na katika report ya mchanga wa madini hakuna sehemu ilioonyesha wizi huo ni wakimukataba au wa kisheria na pia kufanya uchunguzi huo siyo kinyume cha mkataba na katika upotevu wote ulioonekana kutokana na report inaonyesha ni uzembe wa serikali yetu kusimamia mali zetu wenyewe. Kutokana na haya rais wetu anapaswa kuwachukua ACACIA na kufanya nao uchunguzi wa wazi ili wote kwa pamoja wajilizishe na kama itaonekana ni kweri wametuibia kwa pamoja ni sisi watanzania tutawadai watulipe walichotuibia na kama watagoma tutawapeleka huko kwenye mahaka tukawashitake kwa kutuibia. na katika uozo wote huu haujahusiana na ubovu wa mikataba bali uzembe wa serikaliiiiiiii yetuuuuuuuuu.

Pole sana,wenzako wanaotoa USHAURI wamesoma mikataba,wewe unasikia unakopenda kusikia,ingekuwa issue siyo MIKATABA na SHERIA mbovu sidhani kama hata hilo la mchanga lingekuwepo leo.

Hata hiyo michanga kulingana na mikataba bado ni mali yao
 
Unaweza ukwawasikiliza wote hao hata Mara tano tano lkn usiwaelewe...........ningekuelewa zaidi kama ungesema umepitia hiyo mikata na ukaona kilichomo, lissu ameongea kama mwanesheria, ameshauri ili tusije ingia chaka na kuanza kulipa fidia zisizo na msingi...........halafu hapa ni JF sio FJ.
 
Kasome mikataba tuliyojifunga na haya makampuni ndio uje hapa..

Hiyo Kamati hata ukiisikiliza mara 10, nini mara 2, hauwezi ku come up na utatuzi wa hili jambo.

Mi nilifikiri unam criticise Lissu kulingana na vifungu vya Sheria kumbe unam criticise kutokana na ulivyoisikiliza Kamati..??

Weee wa wapi wewe,?

Halafu weka Kiswahili chako sawasawa... Makosa mengi.
 
Pole sana,wenzako wanaotoa USHAURI wamesoma mikataba,wewe unasikia unakopenda kusikia,ingekuwa issue siyo MIKATABA na SHERIA mbovu sidhani kama hata hilo la mchanga lingekuwepo leo.

Hata hiyo michanga kulingana na mikataba bado ni mali yao
kwa taarifa yako ni kwamba madini hayo siyo yetu kutokana na mikataba na magufuli alichokuwa anatafuta kujua kiasi cha madini ili watoze mrahaba na tozo mbalimbali kwa usahihi. sasa sijui wewe unalalama nini?
 
kwa taarifa yako ni kwamba madini hayo siyo yetu kutokana na mikataba na magufuli alichokuwa anatafuta kujua kiasi cha madini ili watoze mrahaba na tozo mbalimbali kwa usahihi. sasa sijui wewe unalalama nini?

Sijui unapinga nini sasa,sikuelewi
 
Kasome mikataba tuliyojifunga na haya makampuni ndio uje hapa..

Hiyo Kamati hata ukiisikiliza mara 10, nini mara 2, hauwezi ku come up na utatuzi wa hili jambo.

Mi nilifikiri unam criticise Lissu kulingana na vifungu vya Sheria kumbe unam criticise kutokana na ulivyoisikiliza Kamati..??

Weee wa wapi wewe,?

Halafu weka Kiswahili chako sawasawa... Makosa mengi.
kama wewe unahoja ya mkataba ilete hapa. ninavyosema hivyo ninaelewa mikataba nimeipitia sana , pia sheria ya madini nimeisoma sana. na rudia kusema tena tunaibiwa kwa uzembe wetu. je TMAA siyo kitengo cha serikali?. mbona walikuwa hawakagui vizuri na kutoa taarifa sahihi?. je unadhani TMAA wametudanganya kwa sababu ya mikata ya madini imesema wadanganye au kwa kutokuweka utaifa mbele?
 
KWANZA TUAMBIE UNAMKATABA WEWE, UNAUJUWA MKATABA UNASEMA NINI? AU UNAKUJA NA MIHEMKO YAKO,ATUTAKI MIHEMKO KAMA UMESOMA MKATABA NA UNAUJUA TUWEKEE USIJE NA MANENO NIMESIKILIZA NANI SIJUI NAN,KAMA HAO WOTE WANAONGEA WALICHO SIKIA KAMA WEWE
 
Back
Top Bottom