umemuomba ushaidi akakwambia hana? embu tuondolee ubashite wako siku yatakukuta ndo utajutaKwanini akurupuke kuongelea mambo asiyo na ushahidi nayo?
umemuomba ushaidi akakwambia hana? embu tuondolee ubashite wako siku yatakukuta ndo utajutaKwanini akurupuke kuongelea mambo asiyo na ushahidi nayo?
Weka cheti mkuu kwanza ili tujiridhishe uwezo wako wa kufafanua mamboEndelea tu kunikejeli but time will tell
Nitafute dpp mkuu umpe hiyo habariAnachonganisha raia na vyombo vya dola ndio kosa la Lissu
I think you-all are smarter than I. Ila uwezo wa kichambua na kifafanua mambo ni vitu viwili kabisa.Weka cheti mkuu kwanza ili tujiridhishe uwezo wako wa kufafanua mambo
sawa bossNitafute dpp mkuu umpe hiyo habari
Mzee umenunua simu karibuni nini? Haya subiri watamshughulikia. Watu wengine hamjielewi kabisa.Kosa la Lissu:
Tundu Lissu anachonganisha TPDF na wananchi. Anachafua taswira ya jeshi letu.
Jana nilikuwa ninaangalia clip moja ya YouTube ikimuonesha mwanasiasa mmoja wanamuita Tundu Lissu akiwa anazungumza na vyonbo vya habari baada ya kutoka detention pale Central police station. How comes mwanasiasa wa ngazi za juu kama Lissu anadiriki kulishutumu jeshi la wananchi (TPDF), idara ya usalama wa taifa/majasusi pamoja na jeshi tukufu la police eti wameunda kikosi kazi (task force) kwa ajili ya kufanya torture. Kweli kabisa? Really?
Senior opposition leader kama Lissu dares to smear the very patriots ready to forsake their blood kwa yeye na familia yake kuwa salama. Lissu anajua gharama inayolipwa na vijana wetu usiku na mchana, ndani hata nje ya nchi kwa chi kuendelea kustawi?
Stage aliyofikia Lissu ya kuchonganisha wananchi na vyombo vya usalama can no longer be tolerated or handle by civilian judicial system. Lissu must be court Marshaled, no other option. Tanzania haipaswi kuruhusu wanasiasa wachochezi kama Lissu to cross the redline kiasi kile na kuchafua vyombo vya usalama na wananchi wake.
Wanasiasa wachonganishi kama Lissu ni lazima wadhibitiwe kwa nguvu zote za dolla.
Kama wewe ni enemy of the state unafichwa tu vizuriNinyi ndiyo wale mnao wateka watu siyo wakisema ukweli??
Tukufu na takatifu. Jifunze kutofautishaMzee umenunua simu karibuni nini? Haya subiri watamshughulikia. Watu wengine hamjielewi kabisa.
Kazi ya hao waliotajwa ni kuja na hoja za kupinga hilo. Kwa taarifa yako hawajawahi kubisha.
Halafu nikusahihishe. Hakuna jeshi tukufu, uwe unauliza. Unaujua utukufu wewe??????
Wewe ushahidi wako ni upi?Kwanini akurupuke kuongelea mambo asiyo na ushahidi nayo?
Maneno ya kukurupuka huyajui.I'm more than serious. Uchochezi kwa maneno ya kukurupuka ni kitu kibaya sana.
Raia hushtakiwa kwa makosa ya kijeshi hukoHuyu naye sijui katokea wapi? Lissu apelekwe mahakama ya kijeshi kwani Lissu ni mwanajeshi?
sawa boss ujuae ni weweManeno ya kukurupuka huyajui.
teh teh teh teh kiki tena bossna ww unatafuta kiki
Kosa la Lissu:
Tundu Lissu anachonganisha TPDF na wananchi. Anachafua taswira ya jeshi letu.
Jana nilikuwa ninaangalia clip moja ya YouTube ikimuonesha mwanasiasa mmoja wanamuita Tundu Lissu akiwa anazungumza na vyonbo vya habari baada ya kutoka detention pale Central police station. How comes mwanasiasa wa ngazi za juu kama Lissu anadiriki kulishutumu jeshi la wananchi (TPDF), idara ya usalama wa taifa/majasusi pamoja na jeshi tukufu la police eti wameunda kikosi kazi (task force) kwa ajili ya kufanya torture. Kweli kabisa? Really?
Senior opposition leader kama Lissu dares to smear the very patriots ready to forsake their blood kwa yeye na familia yake kuwa salama. Lissu anajua gharama inayolipwa na vijana wetu usiku na mchana, ndani hata nje ya nchi kwa chi kuendelea kustawi?
Stage aliyofikia Lissu ya kuchonganisha wananchi na vyombo vya usalama can no longer be tolerated or handle by civilian judicial system. Lissu must be court Marshaled, no other option. Tanzania haipaswi kuruhusu wanasiasa wachochezi kama Lissu to cross the redline kiasi kile na kuchafua vyombo vya usalama na wananchi wake.
Wanasiasa wachonganishi kama Lissu ni lazima wadhibitiwe kwa nguvu zote za dolla.
Wewe umesema jeshi tukufu! Nimekuuliza unaujua utukufu wewe?Tukufu na takatifu. Jifunze kutofautisha
Basi, kama vipi apewe ile kitu watu wanaogopa sana na vyombo husika.