Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,486
- 2,332
Wakati wa Tawala zilizopita shilingi ilikuwa inacheza sana, ilikuwa haitulii kabisa. Hata JPM alipoingia madarakani kuna kipindi shilingi iliyumba sana hadi tukalamika hapa JamiiForum kuwa mabeberu kuna namna wanatuhujumu katika hili.
Badae serikali ikaingilia kati tatizo likaisha shilingi ikarudi 2270 kama nakumbuka vizuri. Tokea hapo ikashuka tena kidogo hadi 2300 na vipoint hivi . Tangu kipindi hicho shilingi imechezea 2300 hadi 2319, hili limedumu kwa muda mrefu sana.
Watalaam wa uchumi hebu tufafanulieni kipi kimetokea huku kuna tetesi kuwa uchumi wetu unasinyaa.
Badae serikali ikaingilia kati tatizo likaisha shilingi ikarudi 2270 kama nakumbuka vizuri. Tokea hapo ikashuka tena kidogo hadi 2300 na vipoint hivi . Tangu kipindi hicho shilingi imechezea 2300 hadi 2319, hili limedumu kwa muda mrefu sana.
Watalaam wa uchumi hebu tufafanulieni kipi kimetokea huku kuna tetesi kuwa uchumi wetu unasinyaa.