GARETHBALE
Member
- Dec 22, 2013
- 76
- 332
Kikao cha NEC kikiendelea kusubiriwa kwa hamu sana, ili kujipanga kwa ajili ya Uchaguzi mkuu ujao pia kwa ajili ya kupokea Maazimio ya Central Committee juu ya Kinana, Membe na Makamba.
Tayari wanaCCM nchini kote wamewashangaa Magufuli na Bashiru kwa kukiuka kanuni za ccm na kutoa maazimio yao mfukoni na kuyakataa yale ya kamati ya Maadili chini ya Mzee Mangula.
Tayari MAGUFULI na Bashiru wametumia kipindi hiki cha corona kushawishi WaNEC wakubaliane na Maamuzi yao ya Mfukoni, wanasahau kuwa Mzee Mangula anaumwa.
Mnec mmoja kutoka kanda ya kati alisikika akisema " Tumechoshwa na uhuni unaofanywa na Mwenyekiti na Katibu, wamekuja kutuharibia ccm yetu,".
WaNEC wanasema wao ndio walioituma kamati ya Mangula iwahoji akina Kinana, kwa hiyo wanasubiri ripot kutoka kamati ya maadili ili watoe maamuz rasmi ya chama.
WaNEC wengi wanasikitika kitendo alichofanyiwa Mzee Mangula, cha kugombezwa kama mtoto mbele ya wajumne pale alipotaka kuisoma ripot ya kamat yake.
Corona inaua, tuchukue taadhali na tufuate maelekezo ya wataalamu wa afya.
Mungu ibariki Tanzania.
Ni mimi Mwajuma Mwasapili
Kutoka Ileje- Mbeya
0754297651
Tayari wanaCCM nchini kote wamewashangaa Magufuli na Bashiru kwa kukiuka kanuni za ccm na kutoa maazimio yao mfukoni na kuyakataa yale ya kamati ya Maadili chini ya Mzee Mangula.
Tayari MAGUFULI na Bashiru wametumia kipindi hiki cha corona kushawishi WaNEC wakubaliane na Maamuzi yao ya Mfukoni, wanasahau kuwa Mzee Mangula anaumwa.
Mnec mmoja kutoka kanda ya kati alisikika akisema " Tumechoshwa na uhuni unaofanywa na Mwenyekiti na Katibu, wamekuja kutuharibia ccm yetu,".
WaNEC wanasema wao ndio walioituma kamati ya Mangula iwahoji akina Kinana, kwa hiyo wanasubiri ripot kutoka kamati ya maadili ili watoe maamuz rasmi ya chama.
WaNEC wengi wanasikitika kitendo alichofanyiwa Mzee Mangula, cha kugombezwa kama mtoto mbele ya wajumne pale alipotaka kuisoma ripot ya kamat yake.
Corona inaua, tuchukue taadhali na tufuate maelekezo ya wataalamu wa afya.
Mungu ibariki Tanzania.
Ni mimi Mwajuma Mwasapili
Kutoka Ileje- Mbeya
0754297651