Rais Magufuli: Baadhi ya Mawaziri katika Serikali yangu ni Wapumbavu

Kiukweli nikiliangalia baraza la mawaziri nawaona na kuwasikia mawaziri wawili tu wakichapa kazi nao ni Prof Kabudi na mwenzie Prof Mbarawa na kidogo Ummy Mwalimu. Maadam komredi Kinana ameendelea na nafasi yake Katika chama namuomba aliangalie hili, maana kwa mbaaali naisikia harufu ya mawaziri mizigo. Yangu ni hayo wewe je unasemaje?!!

Lukuvi yupo moto wa kuotea mbali
 
JPM ndiye anawapa mzigo mawaziri wake.

Wewe rais gani anateua mawaziri,halafu anawaita wapumbavu waziwazi.

1. Kawateua mwenyewe, ina maana yeye ni mpumbavu zaidi?
2. Ina maana mchakato wake wa uteuzi hauna namna ya kuchuja wapumbavu?
3. Hao mawaziri ni viongozi, wanaongoza wizara, wanamsaidia yeye rais, akiwazodoa hivyo wasiheshimike na wanaowaongoza, hilo litamsaidia vipi rais?
 
Heri ya mwaka mpya wapendwa.

Kalamu Huru inaanza mwaka kwa masikitiko makuu. Mawaziri wetu mnatuangusha sana.


Ni juzi tu Rais amelalamika juu ya Airtel na Kanuni za Sheria ya Madini. Leo, eti, ndio mnaenda kuzipeleka....!! Kwa nini ilihitaji Rais kulalamika kwanza ndio mtende?


Kama asingelalamika, mngekuwa kimya tu??? Tumsaidie Rais kwa kuwa pro-active.
Mawaziri wetu

MNATUANGUSHAAAAAAA......!!!


The Quill.
 
wewe ni mjinga
huyu bwana maigizo hujamjua tu..kabla ya kufanya sinema zake in public huwa anakuwa ashapelekewa kazi zote na zinakuwa zimekamilika
anachofanya ni kuwabdilikia ili ionekane hawajatimiza wajibu ila yeye ndio mchapakazi kawafokea ndio wamefanya ili aonekane jembe
nakusikitikia kama hujamjua hadi sasa
 
wewe ni mjinga
huyu bwana maigizo hujamjua tu..kabla ya kufanya sinema zake in public huwa anakuwa ashapelekewa kazi zote na zinakuwa zimekamilika
anachofanya ni kuwabdilikia ili ionekane hawajatimiza wajibu ila yeye ndio mchapakazi kawafokea ndio wamefanya ili aonekane jembe
nakusikitikia kama hujamjua hadi sasa
Uzuri wa freedom of opinion allows one to opine the sky is green. Tatizo ni kwa yule atakayelichukulia hilo kama ni kweli na kweli tupu.

I respect your freedom of opinion, sir.

The Quill
 
Heri ya mwaka mpya wapendwa.

Kalamu Huru inaanza mwaka kwa masikitiko makuu. Mawaziri wetu mnatuangusha sana.


Ni juzi tu Rais amelalamika juu ya Airtel na Kanuni za Sheria ya Madini. Leo, eti, ndio mnaenda kuzipeleka....!! Kwa nini ilihitaji Rais kulalamika kwanza ndio mtende?


Kama asingelalamika, mngekuwa kimya tu??? Tumsaidie Rais kwa kuwa pro-active.
Mawaziri wetu

MNATUANGUSHAAAAAAA......!!!


The Quill.
haya bwana
 
Kwako mheshimiwa Rais.
Nikupongeze kwanza kwa kazi ngumu ya 'kuthubutu' kunyoosha nchi yetu iliyooza kimaadili,kiutendaji na kinidhamu kuanzia Serikali kuu,Serikali za mitaa,taasii za umma na mashirika ya umma n.k. Kote huko holela holela,rushwa,uzembe,mazoea,urasimu,wizi na kiburi vimetamalaki bila ya udhibiti.Wengi wao hawakujua kama wana dhamana mabegani mwao.Mchaka mchaka huu uliouanzisha ningekuomba uongeze spidi maradufu maana chembe chembe za hayo niliyoyaorodhesha bado zipo.
Na shida zaidi ni kwamba wale wateuliwa wako (baadhi yao,sio wote) bado hawajakuelewa unachohitaji.Hawajajua unataka kuelekea wapi.Na kwa kweli si kwamba hawajui kimantiki,bali bado wapo na 'athari' za mazoea.Utendaji wa zama zile za 'zilipendwa'.Hawa kwa kweli watakuchelewesha.Hawaendi na kasi yako.Sasa siku zote vitani wazembe hawapaswi kuwa mbele wakati tunasonga mbele kumwondoa adui.Nina imani umenielewa Mheshimiwa Rais.
Kazi njema.
 
Natoa tu angalizo, kama waziri unaona kasi yako ni ndogo kuhimili mikikimikiki ya kutekeleza majukumu ya serikali ya awamu ya 5 ni vema ukapisha wenye kumudu kasi. Haiwezekani kila siku lazima mkumbushwe majukumu yenu, ilianza kwa Mwijage ikaja kwa waziri wa madini, juzi kati hapa waziri wa kilimo hadi imebidi Waziri mkuu aingie kumsaidia kazi ya kusafirisha pembejeo. Haya leo tena Ndalichako na Jaffo hadi taarifa za malalamiko ya watoto kuchangishwa zinamfikia mkuu wa nchi nyie mko wapi?......na mnafanya nini?!! Pale ununio shule ya msingi kwa mfano, mwalimu mkuu kajenga flemu za biashara na hela inaingia kwenye acvount yake binafsi lakini afisa elimu manispaa kalala usingizi wa pono kabisa. Jamani mnamchosha sana Rais wetu kwa huko kuzembea zembea kwenu, aaah hata mimi mnanichosha bhana. Ni hayo tu, usiku mwema!
 
Natoa tu angalizo, kama waziri unaona kasi yako ni ndogo kuhimili mikikimikiki ya kutekeleza majukumu ya serikali ya awamu ya 5 ni vema ukapisha wenye kumudu kasi. Haiwezekani kila siku lazima mkumbushwe majukumu yenu, ilianza kwa Mwijage ikaja kwa waziri wa madini, juzi kati hapa waziri wa kilimo hadi imebidi Waziri mkuu aingie kumsaidia kazi ya kusafirisha pembejeo. Haya leo tena Ndalichako na Jaffo hadi taarifa za malalamiko ya watoto kuchangishwa zinamfikia mkuu wa nchi nyie mko wapi?......na mnafanya nini?!! Pale ununio shule ya msingi kwa mfano, mwalimu mkuu kajenga flemu za biashara na hela inaingia kwenye acvount yake binafsi lakini afisa elimu manispaa kalala usingizi wa pono kabisa. Jamani mnamchosha sana Rais wetu kwa huko kuzembea zembea kwenu, aaah hata mimi mnanichosha bhana. Ni hayo tu, usiku mwema!

Dilema ya Mawaziri ipo kwenye reality on field na maelekezo yasiyo practical, Sio kosa lao!
 
Natoa tu angalizo, kama waziri unaona kasi yako ni ndogo kuhimili mikikimikiki ya kutekeleza majukumu ya serikali ya awamu ya 5 ni vema ukapisha wenye kumudu kasi. Haiwezekani kila siku lazima mkumbushwe majukumu yenu, ilianza kwa Mwijage ikaja kwa waziri wa madini, juzi kati hapa waziri wa kilimo hadi imebidi Waziri mkuu aingie kumsaidia kazi ya kusafirisha pembejeo. Haya leo tena Ndalichako na Jaffo hadi taarifa za malalamiko ya watoto kuchangishwa zinamfikia mkuu wa nchi nyie mko wapi?......na mnafanya nini?!! Pale ununio shule ya msingi kwa mfano, mwalimu mkuu kajenga flemu za biashara na hela inaingia kwenye acvount yake binafsi lakini afisa elimu manispaa kalala usingizi wa pono kabisa. Jamani mnamchosha sana Rais wetu kwa huko kuzembea zembea kwenu, aaah hata mimi mnanichosha bhana. Ni hayo tu, usiku mwema!

Si muwape hizo kazi za ufuatiliaji hao mliowanunua toka upinzani, huoni mmeingia hasara bure? Kuna lile tangazo kila siku TCRA wanasema kwenye ving'amuzi local channels ziwe bure, lakini mpaka leo halijatekelezwa. Ukitaka kuona hao watu wako active ngoja ije hoja ya kupambana na upinzani, hata yule aliyekuwa amelala ataama na shuka kiunoni. Halafu mleta uzi kesho utajichanganya utasema sasa hivi nidhamu ya utendaji kazi serekalini imebadilika. Sasa itabadilikaje kwa watumishi lakini kwa viongozi wao ambao ni mawaziri walio karibu kabisa na rais iwe hiyo inayokuliza hapa?

Mna bahati wapinzani wamipigwa ganzi ya siasa za vitisho, lakini wangefunguka na kusema hali halisi saa hii hao mawaziri unaosema wangekuwa wanatekeleza wajibu wao. Haya ndio madhara ya chama kimoja, kunakuwa hakuna wanaa wa kuwaamsha hao waliolala. Muelezeni mwenyekiti wenu wa ccm na rais wetu kuua upinzani ni kwa faida yake binafsi na sio afya kwa taifa.
 
Natoa tu angalizo, kama waziri unaona kasi yako ni ndogo kuhimili mikikimikiki ya kutekeleza majukumu ya serikali ya awamu ya 5 ni vema ukapisha wenye kumudu kasi. Haiwezekani kila siku lazima mkumbushwe majukumu yenu, ilianza kwa Mwijage ikaja kwa waziri wa madini, juzi kati hapa waziri wa kilimo hadi imebidi Waziri mkuu aingie kumsaidia kazi ya kusafirisha pembejeo. Haya leo tena Ndalichako na Jaffo hadi taarifa za malalamiko ya watoto kuchangishwa zinamfikia mkuu wa nchi nyie mko wapi?......na mnafanya nini?!! Pale ununio shule ya msingi kwa mfano, mwalimu mkuu kajenga flemu za biashara na hela inaingia kwenye acvount yake binafsi lakini afisa elimu manispaa kalala usingizi wa pono kabisa. Jamani mnamchosha sana Rais wetu kwa huko kuzembea zembea kwenu, aaah hata mimi mnanichosha bhana. Ni hayo tu, usiku mwema!
Nenda na wewe
 
Natoa tu angalizo, kama waziri unaona kasi yako ni ndogo kuhimili mikikimikiki ya kutekeleza majukumu ya serikali ya awamu ya 5 ni vema ukapisha wenye kumudu kasi. Haiwezekani kila siku lazima mkumbushwe majukumu yenu, ilianza kwa Mwijage ikaja kwa waziri wa madini, juzi kati hapa waziri wa kilimo hadi imebidi Waziri mkuu aingie kumsaidia kazi ya kusafirisha pembejeo. Haya leo tena Ndalichako na Jaffo hadi taarifa za malalamiko ya watoto kuchangishwa zinamfikia mkuu wa nchi nyie mko wapi?......na mnafanya nini?!! Pale ununio shule ya msingi kwa mfano, mwalimu mkuu kajenga flemu za biashara na hela inaingia kwenye acvount yake binafsi lakini afisa elimu manispaa kalala usingizi wa pono kabisa. Jamani mnamchosha sana Rais wetu kwa huko kuzembea zembea kwenu, aaah hata mimi mnanichosha bhana. Ni hayo tu, usiku mwema!
Kama huna habari, hizo ni tuition za push up!
 
Back
Top Bottom