Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Ungekuwa umeshadakwa na wazee wa kazi wewe. Nchi hii hamna udikteta.Ni dictator. Kwani kwenye nchi za madictor wengine watu jawatype?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuwa umeshadakwa na wazee wa kazi wewe. Nchi hii hamna udikteta.Ni dictator. Kwani kwenye nchi za madictor wengine watu jawatype?
Ungekuwa umeshadakwa na wazee wa kazi wewe. Nchi hii hamna udikteta.
Nakuambia hivi Tanzania hamna udikteta. Kama kuna udikteta ungekuwa umeshadakwa.Wanidake kwa kosa gani labda?
Sasa Lowasa ameingiaje hapo, kila mtu mwenye average intelligence anaweza kuwa president wa Tanzania.yote maoni, hata diamond kuna watu wansema sio msanii ni mfanya biashara! kwan unadhan its something new? there is no way unasema tundu lissu is good while hajawahi kua president something you can compare with! lakini kitendo cha kumkaribisha lowasa 2015 that proves he is not only a stupid leader but a big TRAITOR
Ningekua najua nisingeulizaKwa hiyo unauliza, kwani hujui?
Unajua maana ya udikiteta lakini??Madictator bana kwa kuhadaa umma kuwa wanakubalika hawajachacha.
Kwa hiyo unasemaje Ndugu? Magu atapata more than 90 percent ya kura..Na sasa hivi ndio wanatakiwa wamzonge kabisa, lakini wanamwacha tu yeye pekee ndiye asikike. Na anaipenda sana hali hiyo, ndiyo maana kaanza mapema kutoa vitisho.
Aibu ya Nini? Mbowe ana pea ngapi? Yaani mnaangalia hata pea za viatu? Duh...Kwani mkuu ana raba pea moja hiyohiyo pamoja na jaketi moja tu...???
Wasaidizi wake, ebu oneni aibu basi...
Akipata ailimia hiyo ni sawa na kushindwa uchaguzi mkuu!Kwa hiyo unasemaje Ndugu? Magu atapata more than 90 percent ya kura..