Laface77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2008
- 2,117
- 2,845
Zitto alishawahi kusema tumekabidhi nchi kwa washamba, sasa nimeanza kumuelewa. Mwanzo nilidhani anazungumzia zile suti oversize.Hivi Msigwa hana kazi zingine za kufanya zaidi ya kututaarifu maongezi ya simu. Sifa za kijinga.