MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,542
Ni jambo la ajabu sana kujifanya tumesahahu au hatujui role ya Rostam kwa nchi fulani za middle east..huyu mtu hatufai!! inakuwaje bado anapewa security clearance hata baada ya mabaya yote aliyofanya dhidi ya nchi hii??? watanzania tuna shida kubwa pengine ni kwa sababu akili ya hao tuliowatask masuala ya usalama wetu akili yao imedhoofu kwa miaka sasa! kila mahali makosa..mara arab contractors ya Misri ndio wanajenga rufiji dam..watu ambao hawajaridhia kabisa Tanzania kutumia maji ya ziwa victoria kuweka miradi ya maji inayoendelea leo, halafu unawapa wakujengee dam una uhakika hiyo ndiyo kazi pekee watafanya wakiwa hapa nchini???
Kwa kifupi hata hilo jina alilotumia Rostam kuita TAIFA GAS wamzuie..huwezi ita biashara yako binafsi jina TAIFA/NATIONAL akili ya watanzania sijui hata huwa inafikiria nini, tuna timu ya Taifa inaitwa TAIFA STARS, neno Taifa linapaswa litumiwe kwa niaba ya NCHI, au kwa kitu chochote chenye umiliki wa nchi sio ovyo ovyo tu kama hivyo alivyoita Rostam biashara yake!
👍