hiyo siyo kejeli ni kweli mtupu Watanzania unapenda kukomalia mambo yanayotutia hasara badala ya kutetea au kuungana kutetea kilicho Chenu. Rasilimali zinachotwa hatuungani kutetea sababu?Namaanisha Kejeli
hiyo siyo kejeli ni kweli mtupu Watanzania unapenda kukomalia mambo yanayotutia hasara badala ya kutetea au kuungana kutetea kilicho Chenu. Rasilimali zinachotwa hatuungani kutetea sababu?Namaanisha Kejeli
Jina la Lipumba limetajwa wapi sasa? Kizungu chako mpelekee Lisu selo.Kama kiswahili tu kinawashinda kuelewa hivi kidhungu si ndio hekaheka?...