Rais Magufuli aweka jiwe la msingi ujenzi wa meli kubwa kuliko zote katika Maziwa Makuu: Ina uwezo wa kubeba abiria 1,200

Nilipita sehemu mbalimbali nikiwa ktk mizunguko ndani ya Kahama mjini,moja ya sehemu walioweka TBC taifa ni Chilla Pub jirani na bank ya N.B.C,wadada kwa wakaka wamekusikiliza na kuisifu hotuba yako pia mpaka mchina alikuwapo kukufuatilia,

Nimeamua kuliandika hili uzalendo umenishinda kwa upendo ulioonyeshwa pale,sijajua pengine

Pia mh.rais yupo mjasiliamali hapa Kahama angekufaa kuwa diwani mtarajiwa japo anahitaji kupikwa kidogo anaitwa Bi.Mariam,mmliki wa Nyumbani Pub,si rahisi chama kumuona maana kina watu wengi Ila kingemmulika kujiridhisha,japo Mimi sina chama wala kadi ya chama chochote ila mkereketwa tu

Instagram:kaukwaju
 
Duh.......

Kumbe mliingizwa mjini na serikali hii ya awamu ya tano??

Ndiyo mmejifunza hapo itakapofika mwaka 2020 wakileta zile fulana zao na vitenge mnachukua na siku ya kupiga kura unapigia upinzani
 
Siasa za bongo ukizifuatilia kwa karibu sana, unaweza anza kupatwa na magonjwa ya kizungu; Depression, dementia, bipolar disorder, parkisons disease ...
 
Ni muda mrefu sasa tumekuwa tukisikia ahadi za kujengwa meli za kisasa katika maziwa ya Victoria Tanganyika na Nyassa.Hizi taarifa za ujenzi wa meli, zilianza enzi ya Ben Mkapa ampapo ilisemekana kuwa mjenzi wa meli hizo angetoka nchi ya Denmark lakini haikuwa. Hii taarifa ya leo kutoka kwa mkuu wa nchi nadhani itafuatiwa na ujenzi wa meli hiyo na hatimaye baada ya miezi hiyo 24 kukabidhiwa. Ziwa Victoria na Tanganyika ni maziwa yanayotahili kuwa na meli kubwa za kubeba abiria na mizigo, nafahamu kuwa Kenya wana mpango wa kujenga Cruise ship Kisumu lakini kama ilivyokuwa kwenye ndege haipendezi kuhudumiwa na nchi jirani wakati sisi ndio wenye eneo kubwa la ziwa ambayo ni faida kwa biashara, uchumi na utalii.

Pamoja na kutoa pongezi kwa hatua hiyo iliyofikiwa, ningeishauri iwekeze zaidi kwa kununua meli kubwa za kitalii ambazo kimsingi ni hoteli zinazoelea ili pamoja kutoa huduma ya usafiri kwa watu wetu,zitoe huduma za kutalii maziwa yetu ambayo kwa hakika hatujayatangaza kama vivutio vya utalii. Haiwezekani miaka nenda rudi tuwe tunaimba Kilimanjaro,Serengeti na Ngorongoro tu wakati kuna utalii wa kuvinjari baharini na maziwa makuu kwa kutumia meli. Bei za Cruise ships zinaanzia dollar milion 500 ha million 1000 kiasi ambacho tukijipanga tunaweza kumudu.

Moja kati ya madude haya hapa likielea ziwa Victoria au Tanganyika ni hoteli tosha itakayodumu kuwa rasilimali ya taifa inayoiingizia taifa kupitia utalii.
http//themusterstation.com/largest-cruise-ships
http//www.cruisecritic.com/cruiseitineraries.cmf
 
Mhh nani apande apotezwe kimv bukoba

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kwa usafiri wa mwanza to bukoba wala hawahitaji sana ji meli kubwa la muhimu ni muda wa kukaa majini hata hayo masaa sita kama ni kweli bado ni mengi sana!!hiyo mv victoria tu kwa siku za karibuni ilikuwa inajiendesha kwa hasara hakuna abiria,watu wanatumia mabasi masaa sita amefiika mtu alale majini!!!mizigo yenyewe ndio hivyo tena kwani uchumi wa mkoa wa kagera daaa unasikitishaaa!!!nilidhania wanaleta boti zenye spidi angalau masaa matatu mtu amefika!!
 
Bora wahaya walikuwa !!!!wamepata tabu sana!!!! kipindi meli hakuna kwani asili yao ni maji barabara wanalazimisha
 
Uchumi wa nchi haujengwi kwa kutoa kipaumbele kwenye miundombinu pekee japo ni kweli miundombinu ni ya muhimu katika kuchochea ukuaji wa uchumi.
Ebu tupe 'road map' yako kwa vipaumbele muhimu ambavyo, kama ungekuwa kiongozi wa nchi, ungeviingiza kwenye orodha yako. Kisha tupe mpagilio wa kipi (kipaumbele) ungeanza nacho na gharama ambazo ungetumia na kuendelea mpaka kipaumbele cha mwisho kwenye orodha yako. Itafurahisha zaidi kama kwa kila kipaumbele utatueleza ungetumia muda gani kukishughulikia na kukimaliza.

Karibu mkuu kwa maelezo yako murua katika kuijenga Tanzania inayoelekea kujitegemea kiuchumi.
 
Huyu bwana sijui anadhani yeye bado ni waziri wa miundombinu na uchukuzi?!

Uchumi wa nchi haujengwi kwa kutoa kipaumbele kwenye miundombinu pekee japo ni kweli miundombinu ni ya muhimu katika kuchochea ukuaji wa uchumi.

Utanunua mandege, treni na kujenga meli ila mwisho wa siku utaacha wananchi wakiwa hohehahe na watashindwa hata kutumia hiyo miundombinu kujieletea maendeleo maana mifukoni wakavu, hawakoposheki na hata wale wanaokesheka wanalipa mikopo yao kwa tabu, n.k.

Uvuvi mmeuvuruga, kilimo mmekipuuza, ajira kwa manati,watu biashara zimedorora, mikopo hailipiki na mabenki faida zinaporomoka.Sasa hizi ndege, meli na treni zinazopewa kipaumbele kuliko vitu vingine vyote ndio vitu pekeee vitavyomuinua mtanzania huyu?!

Hata huko vijijini ukijenga mabarabara mazuri kila mahali hizo barabara haziwei kuwa na tija yoyote katika uchumi wa nchi kama huko vijijini kilimo kimedoraro.

Barabara nzuri vijijini huku mazao ya kusafirsha hakuna ni kazi bure kiuchumi.

Awamu hii tunaelekeza fedha nyingi sana kwenye miundombinu na kusahau kabisa sekta nyingine jambo ambalo sidhani kama ni sahihi.

Sorry I'm going to reply in English because I'm not good writing and explaining my points in Swahili so much.

You should be ashamed of this post. Magufuli for all his faults( his only human by the way) has done more for this country in the last few years than most could have expected. For example, in the agriculture sector, he has reduced the excise duty for local farmers and manufacturers, and even on others, he has not increased them as per the norms of the last few regimes(eg alcohol manufacturers). He has taken measures to protect local industries e.g imposing higher tariffs on importation and also sometimes banning importation of certain consumable products altogether( cooking oil, sugar, baseless importation of food). Do you know the impact that this has had in the country? YOU DO NOT. Do you know the impact this has had on farmers in our country? YOU DO NOT. Do you know the sectoral growth of the industrial sector in our country? YOU DO NOT. Your criticisms are unfounded and you are misinformed i.e a fool.

Again on ignoring other industries, first of all this is false( I'll explain), it also misses the point. No serious government can focus on all sectors at once, they have priority sectors, so him concentrating on infrastructural development shows that this is one of his priorities. However, as indicated, stiglers gorge, kinyerezi is on-going( electricity sector), free public education(education), SGR(infrastructure), mining reforms( mining sector- this despite the fact that opposition position changed 180 degree just because JPM dared to do it), protectionism of the agricultural products etc hence, again your criticisms are unfounded and you are misinformed i.e a fool.

If your aim was to look smart and just criticize for the sake of criticizing, then you have utterly failed and you just ended up looking stupid. You should apologize to most people here for misleading them.
 
siku hizi cdf kawa mtumishi wa ikulu yumo kila kwenye misafara ya rais kila uchao
 
Sorry I'm going to reply in English because I'm not good writing and explaining my points in Swahili so much.

You should be ashamed of this post. Magufuli for all his faults( his only human by the way) has done more for this country in the last few years than most could have expected. For example, in the agriculture sector, he has reduced the excise duty for local farmers and manufacturers, and even on others, he has not increased them as per the norms of the last few regimes(eg alcohol manufacturers). He has taken measures to protect local industries e.g imposing higher tariffs on importation and also sometimes banning importation of certain consumable products altogether( cooking oil, sugar, baseless importation of food). Do you know the impact that this has had in the country? YOU DO NOT. Do you know the impact this has had on farmers in our country? YOU DO NOT. Do you know the sectoral growth of the industrial sector in our country? YOU DO NOT. Your criticisms are unfounded and you are misinformed i.e a fool.

Again on ignoring other industries, first of all this is false( I'll explain), it also misses the point. No serious government can focus on all sectors at once, they have priority sectors, so him concentrating on infrastructural development shows that this is one of his priorities. However, as indicated, stiglers gorge, kinyerezi is on-going( electricity sector), free public education(education), SGR(infrastructure), mining reforms( mining sector- this despite the fact that opposition position changed 180 degree just because JPM dared to do it), protectionism of the agricultural products etc hence, again your criticisms are unfounded and you are misinformed i.e a fool.

If your aim was to look smart and just criticize for the sake of criticizing, then you have utterly failed and you just ended up looking stupid. You should apologize for most people here for misleading them.
Word!
That’s all
 
If your aim was to look smart and just criticize for the sake of criticizing, then you have utterly failed and you just ended up looking stupid. You should apologize for most people here for misleading them.
Thank you very much
 
[QUOTE="henry kilenga, post: 28214595, member: 277218"]vijana wa ufipa hawataki maendeleo ndiyo maana wanabeza humu



WATAPATA TABU SANA[/QUOTE]
Kwao maendeleo ni kujengewa sober houses!
 
Tupendane tuujenge uchumi wa pamoja, hakuna mtu atakayekuja kuujenga uchumi wetu, tumechelewa. Nchii hii ina mali nyingi hatukupaswa kuwa masikini hivi .Tusikwepe kodi ndugu zangu watanzania, kodi ni msingi wa maendeleo ya Tanzania

Natamani sana siku moja angetulia na kuyawaza vizuri haya maneno anayoyatamka kama mzaha mzaha tu.
Haya maneno yana umuhimu mkubwa. Sio ya kuyasema tu kama kujazia kwenye hotuba ili ikamilike.
Anahitaji kuchukua muda wa 'reflection' ya uongozi wake hadi hapa tulipofikia, na aweke juhudi kubwa kuyafanyia kazi maneno hayo kwa dhati ya moyo wake na nguvu zake zote.

Ndio, hakuna mtu atakayekuja kuujenga uchumi wetu, na tumechelewa sana. Lakini tunavyokwenda sasa kama taifa hakutii matumaini sana kwamba tunaweka misingi imara (kiuongozi) itakayotufanya tubadili mwelekeo na kuliendeleza taifa letu kwa haraka tukiwa na umoja wetu.
 
Back
Top Bottom