Rais Magufuli aweka Jiwe la Msingi Mahandaki Reli ya Kisasa

Jamaa unachekesha! Unashangaa raisi kuzindua miradi
Kinachonishangaza Mimi ni kuzindua miradi kwa kurudiarudia,mradi moja unazinduliwa,unafunguliwa na viongozi msururu kwa gharama kubwa tu.Fikiria msafara wa watawala wetu unadhani ni shilingi ngapi?Hutu baba huwa simwelewi,yeye ndiyo mbunifu,mshauri na mpangaji wa miradi na mtekelezaji wake.Mzee ametumia nguvu na raslimali nyingi katika miradi ya ujenzi huku huduma muhimu zikikosekana.
 
Kinachonishangaza Mimi ni kuzindua miradi kwa kuruzsfeeg dxaftszsgev sdiarudia,yeye ndiyo mbunifu,mshauri napangaji wa miradi na mtekelezaji wake.Mzee ametumia nguvu na raslimali nyingi katikkdva miradi ya ujenzi
Hakuna shida au labda ulitaka mbowe ndio azindue? Na atazindua sana maanake Kuna miaka 5 mingine,
 
Watu wengi ni wanafiki wakati miaka iliyopita tulivyokuwa tunalalamika hakuna maendeleo ya miundo mbinu ni haohao CCM ndiyo walikuwa wa kwanza kututukana. Haya mambo ya barabara yangetakiwa kufanyika miaka 20 iliyopita sio sasa.

Ni ushamba tu wa maendeleo tulionao haya ni mambo ambayo tungetakiwa kuyafanya na toene ni mambo ya kawaida. Nchi nyingine wenzetu wanafanya. Ni CCM ndiyo ilifanya watu waone kama Tanzania hatuwezi sasa haohao wanahamaki !! wakati tulikuwa tunawaambia pesa zinaliwa
Walaji wa hizo fedha tuliambiwa wamedhibitiwa,hatuambiwi kivipi.Yaani mafisadi nchi hii,waliotukwamisha miaka yote hii ni kina nani?Wamedhibitiwa kwa kupelekwa mahakama ya mafisadi?Je wamehukumiwa?
Tukiambiwa tumeibiwa sana pia tupewe taarifa ya hatua zilizochukuliwa dhidi ya wezi.
Huu utawala unaendeleza yaliyotangulia kuasisiwa na wana CCM wenzao na wanalindana.Wapi mafisadi wa ESCROW, EPA,Richmond, Meremeta,1.5-2.4Trilions,Vichwa vya Treni vilivyookotwa,Gas ya Mtwara ni wanashughulikiwa lini?
Semeni yamewashinda,mpishe wake wazalendo wafurumishwe panya wote wanaotafuna hazina ya Taifa tajiri lenye Wananchi maskini.
 
Ukiona mtu Mpumbavu unaumia au unamuonea huruma ??? mpumbavu anaweza kuwa amesoma lakini kuna mambo hajui na anajifanya anajuwa ..."mjinga ana afadhali , ukimuelewesha akishajua anakua mwerevu ........" JK Nyerere
Hujajibu swali dogo. Unaumia kuona Rais anazindua miradi ya maendeleo?
 
Hujajibu swali dogo. Unaumia kuona Rais anazindua miradi ya maendeleo?


Unadhani kila mtu ni Dogo hapa ndani ....
Swali lako lilikuwa ...Unaumia ? halikuwa .....Unaumia kuona Rais anazindua miradi ya maendeleo?

Ungeuliza direct ningekujibu ..kuwa hakuna mtanzania ambaye hapendi miradi ya maendeo ifanyike ..
 
Unadhani kila mtu ni Dogo hapa ndani ....
Swali lako lilikuwa ...Unaumia ? halikuwa .....Unaumia kuona Rais anazindua miradi ya maendeleo?

Ungeuliza direct ningekujibu ..kuwa hakuna mtanzania ambaye hapendi miradi ya maendeo ifanyike ..
Ndiyo maana nakuita dogo kama tu huwezi kuelewa muktadha wa swali la mwanzo
 
Kama maigizo ladba ndio mwanzo ulivyo maana tukienda Kenya au Dubai tunasifia sana maendeleo sijui wao hawakuanza mwanzo kama sisi?

Shida ni kwamba hapa kwetu tunaona kabisa kuanzia msingi wa nyumba ulivyo kwa wenzetu tukisafiri hatuoni msingi tunakuta vilishafanyika ndo tofauti
Mkuu hivi Yale mahandaki kwenye reli ya Tazara rais alikwenda kuyazindua? I think kuzingua ujenzi wa mahandaki ya reli is too low for president
 
Back
Top Bottom