Kinachonishangaza Mimi ni kuzindua miradi kwa kurudiarudia,mradi moja unazinduliwa,unafunguliwa na viongozi msururu kwa gharama kubwa tu.Fikiria msafara wa watawala wetu unadhani ni shilingi ngapi?Hutu baba huwa simwelewi,yeye ndiyo mbunifu,mshauri na mpangaji wa miradi na mtekelezaji wake.Mzee ametumia nguvu na raslimali nyingi katika miradi ya ujenzi huku huduma muhimu zikikosekana.Jamaa unachekesha! Unashangaa raisi kuzindua miradi