Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Kazi imeanza kama ifuatavyo
Kazi imeanza kama ifuatavyo
Kamtoa kafaraNothing new.
Huyo Kabudi ajiandae kwenda kujibu maswali ya mabeberu kwa ule utapeli mliofanya kwenye sanduku la kura.
AiseeHongera zao!
Kwa kuwajulisha history vijana wetu ya Wizara hiyo
Mpaka sasa Dr Mpango ndio Waziri alieshika Wadhifa huo kwa muda mrefu zaid mfululizo tangu tupate uhuru
Waziri wa fedha wa kwanza Mzawa ni Hayati Paul Bomani
Waziri wa fedha wa kwanza kujiuzulu/kufukuzwa kwa kutokubaliana na Bosi wake kimsimamo ni Mzee Edwin Mtei
Aliekaa muda mfupi zaid ni Luteni Kanali mstaafu Jakaya Kikwete
Walioshika wadhifa huo kwa vipindi tofauti kwa maana ya kuingia na kutoka na kurejea tena ni Cleopa David Msuya na Prof Kighoma Malima
Waziri wa Fedha alieshika wadhifa huo chini ya Marais wawili tofauti ni Prof Malima, alikuwa Waziri wa Mwisho wa Mwl Nyerere na Mzee Ally Hassan Mwinyi
Zakia Hamdan Meghji ndio Waziri wa fedha wa kwanza Mwanamke hapa nchini
Mawaziri waliofariki wakiwa bado ni mawaziri wa fedha ni Steven Kibona na Mh Mgimwa
Aliejiuzulu kwa tuhuma ya Wizi ni Prof Simon Mbilinyi
Basil Mramba ndio Waziri wa fedha wa kwanza kupatikana na hatia ya ubadhirifu Mahakamani na kufungwa gerezani
Itafuata Wizara ya Ulinzi bila shaka kama style hii ya kutangaza kidogo kidogo itaendelea
Utamsifia hata akija.mba, sasa we ulitegemea atabadili chochote hapo?!.hongera dr magufuli safi sana
Ndo maana kateuliwa. Ili akawape za uso pamoja na vibaraka wao.Nothing new.
Huyo Kabudi ajiandae kwenda kujibu maswali ya mabeberu kwa ule utapeli mliofanya kwenye sanduku la kura.
Alishasema kazi inaendelea..mwendo ni ule ule hapa kazi tuutamsifia hata akija.mba, sasa we ulitegemea atabadili chochote hapo?!.
Mbona hamuwaulizi mawakala wenu mliowaamini wawalindie kura..kwa sababu wao ndio walikuwa wanayaangalia hayo masanduku..jomba..mnaweweseka sana..msiwachukulie poa watanzania..hahahahha..mtaweweseka mpaka mtakapoenda kaburini hamtapata majibu ya kwa Nini watanzania waliwachinja vileNothing new.
Huyo Kabudi ajiandae kwenda kujibu maswali ya mabeberu kwa ule utapeli mliofanya kwenye sanduku la kura.
Safi kabisa! Umetuelimisha mkubwa, bavicha wao wanajua ICC tuHongera zao!
Kwa kuwajulisha history vijana wetu ya Wizara hiyo
Mpaka sasa Dr Mpango ndio Waziri alieshika Wadhifa huo kwa muda mrefu zaid mfululizo tangu tupate uhuru
Waziri wa fedha wa kwanza Mzawa ni Hayati Paul Bomani
Waziri wa fedha wa kwanza kujiuzulu/kufukuzwa kwa kutokubaliana na Bosi wake kimsimamo ni Mzee Edwin Mtei
Aliekaa muda mfupi zaid ni Luteni Kanali mstaafu Jakaya Kikwete
Walioshika wadhifa huo kwa vipindi tofauti kwa maana ya kuingia na kutoka na kurejea tena ni Cleopa David Msuya na Prof Kighoma Malima
Waziri wa Fedha alieshika wadhifa huo chini ya Marais wawili tofauti ni Prof Malima, alikuwa Waziri wa Mwisho wa Mwl Nyerere na Mzee Ally Hassan Mwinyi
Zakia Hamdan Meghji ndio Waziri wa fedha wa kwanza Mwanamke hapa nchini
Mawaziri waliofariki wakiwa bado ni mawaziri wa fedha ni Steven Kibona na Mh Mgimwa
Aliejiuzulu kwa tuhuma ya Wizi ni Prof Simon Mbilinyi
Basil Mramba ndio Waziri wa fedha wa kwanza kupatikana na hatia ya ubadhirifu Mahakamani na kufungwa gerezani
Itafuata Wizara ya Ulinzi bila shaka kama style hii ya kutangaza kidogo kidogo itaendelea
Aisee... tusubiri Baba Askofu Gwajima atapewa wizara gani.Hongera zao!
Kwa kuwajulisha history vijana wetu ya Wizara hiyo
Mpaka sasa Dr Mpango ndio Waziri alieshika Wadhifa huo kwa muda mrefu zaid mfululizo tangu tupate uhuru
Waziri wa fedha wa kwanza Mzawa ni Hayati Paul Bomani
Waziri wa fedha wa kwanza kujiuzulu/kufukuzwa kwa kutokubaliana na Bosi wake kimsimamo ni Mzee Edwin Mtei
Aliekaa muda mfupi zaid ni Luteni Kanali mstaafu Jakaya Kikwete
Walioshika wadhifa huo kwa vipindi tofauti kwa maana ya kuingia na kutoka na kurejea tena ni Cleopa David Msuya na Prof Kighoma Malima
Waziri wa Fedha alieshika wadhifa huo chini ya Marais wawili tofauti ni Prof Malima, alikuwa Waziri wa Mwisho wa Mwl Nyerere na Mzee Ally Hassan Mwinyi
Zakia Hamdan Meghji ndio Waziri wa fedha wa kwanza Mwanamke hapa nchini
Mawaziri waliofariki wakiwa bado ni mawaziri wa fedha ni Steven Kibona na Mh Mgimwa
Aliejiuzulu kwa tuhuma ya Wizi ni Prof Simon Mbilinyi
Basil Mramba ndio Waziri wa fedha wa kwanza kupatikana na hatia ya ubadhirifu Mahakamani na kufungwa gerezani
Itafuata Wizara ya Ulinzi bila shaka kama style hii ya kutangaza kidogo kidogo itaendelea
Aliwazalo mpumbavu ndio litakalo mtokeaNimekata tamaa kabisa hali itakuwa ngumu