Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #101
Kawateua kwa kipindi kingine kamanda
Amewateua?.
Au kawarudisha pale pale?
Amewateua?.
Au kawarudisha pale pale?
Mzee Mtei sidhani kama alishawahi kuwa Waziri wa fedha, ila nina uhakika Gavana wa Benki Kuu, ...
Alikuwa Governor na baadae kuwa Waziri wa fedha , it was mwishoni mwa 1970s or mwanzoni mwa 1980s
Nanyi mungeiba kama baiden huko MarekaniSasa kulikuwa na haja gani ya kusumbua WATU kuitisha uchaguzi?.
Chama hichi miaka yote mliyotawala hamjiamini kwa wananchi mpaka muibe kura?
Nanyi mungeiba kama baiden huko Marekani
Bavicha ni Team pompeo ndio maana wana 'nyota ya kuibiwa Kura' kama kina Trump
Nanyi mungeiba kama baiden huko Marekani
Wao wakati wananza kuongoza na kujitawala vyama vyao vilidumu kwa miaka mingapi?Mnadhani wamarekani Wana akili kama za kwenu?.
Mmeongoza Tanzania tangu UHURU mpaka leo.lakini bado mnaiba KURA.
Sasa Nini mnachojivunia Kama ccm?
Wao wakati wananza kuongoza na kujitawala vyama vyao vilidumu kwa miaka mingapi?
Nimekuuliza walipojitawara waliendeshaje nchi yao, wacha kuja na urongorogo,Marekani hakuna mfumo wa chama kimoja Kama hapa Tanzania kwanza ulijue Hilo.
Sio kila mwaka ni CCM tuu.
N
Nimekuuliza walipojitawara waliendeshaje nchi yao, wacha kuja na urongorogo,
Kama hujui kaa kimya.
Mkulo hujamtajaHongera zao!
Kwa kuwajulisha history vijana wetu ya Wizara hiyo
Mpaka sasa Dr Mpango ndio Waziri alieshika Wadhifa huo kwa muda mrefu zaid mfululizo tangu tupate uhuru
Waziri wa fedha wa kwanza Mzawa ni Hayati Paul Bomani
Waziri wa fedha wa kwanza kujiuzulu/kufukuzwa kwa kutokubaliana na Bosi wake kimsimamo ni Mzee Edwin Mtei
Aliekaa muda mfupi zaid ni Luteni Kanali mstaafu Jakaya Kikwete
Walioshika wadhifa huo kwa vipindi tofauti kwa maana ya kuingia na kutoka na kurejea tena ni Cleopa David Msuya na Prof Kighoma Malima
Waziri wa Fedha alieshika wadhifa huo chini ya Marais wawili tofauti ni Prof Malima, alikuwa Waziri wa Mwisho wa Mwl Nyerere na Mzee Ally Hassan Mwinyi
Zakia Hamdan Meghji ndio Waziri wa fedha wa kwanza Mwanamke hapa nchini
Mawaziri waliofariki wakiwa bado ni mawaziri wa fedha ni Steven Kibona na Mh Mgimwa
Aliejiuzulu kwa tuhuma ya Wizi ni Prof Simon Mbilinyi
Basil Mramba ndio Waziri wa fedha wa kwanza kupatikana na hatia ya ubadhirifu Mahakamani na kufungwa gerezani
Itafuata Wizara ya Ulinzi bila shaka kama style hii ya kutangaza kidogo kidogo itaendelea
Wizara ya kufufua misukule...Aisee... tusubiri Baba Askofu Gwajima atapewa wizara gani.
Hongera kwao
Hongera na wewe mhe ukinitumia hata 8k ya kvant kubwa nitashukuru sanaHakika