Rais Magufuli awataka Viongozi kushughulikia mapungufu akisema kuna wengine bado wamelala

Waandishi wa habari Kama hawa inatakiwa wakasome.Yaani anasema ni utekelezaji wa ilani ya CCM, wakati mheshimiwa rais ndio kaagiza baada ya viongozi wa mkoa na wilaya kuwa wazembe!
 
Dude hili linachagua rangi za kuadabisha Si kawaida bwana weye ! nyie tu ndo Mambulula na wagumu wa kuelewa! sababu ya kula sana vihepe vya mafuta ya Transformer!! Paleeee! Masangati chips!! usiombe! sijui mmelogwa na nani??

Wewe huoni rangi Zoooote hizi zinalo likwepa hili Dude ni Nyeusi tiii!! halafu zimechokaaa! zimekondaa!! hazijavaa Suit! za kisasa zimekondeanaaa!! angalia zilivo jikunja kwanza!! km vitoto vya shule!! hazina vitambi!!

Lkn Sasa kinyume chake Dude litishalo hilo limenenepeanaaa linakaribia toboka! na hao weusi walio lala chini wakilikwaruza kidogo tu! linavuja damu weee! mpaka kufwaaaaa! lkn sasa je? wana nguvu za kulilia timing ya kulitoboa? si wamechokaa mbaya!!

Mwenye kitambi na aliye shiba hawezi jikunja hivo!! UONGO msomaji NA mwana JF? sasa bwana wewe Akili huna macho pia huoni? Mfyuxxxzz!!

Jiwe Akigusa rangi nyeupe Nyeupe tuu! ataona moto wakeee! heee! na anajua hachomoki nakwambia!! km mimi mwongo kaulizie Barick Gold Mine!! wanapeta na kula zaidi ya ilivo kuwa awali na samahani juu walipewa!

Ukiona km hiyo haitoshi uliza, YUle jamaa Mkulima aliye kamata Ndege TZ za Bombardia kulee Canada. zikiwa njiani kuja DSM na Usisahau ile ya SA. yaaani walivyo mpa za chembe mpaka leo hana Hamu na rangi nyeupe!!

Tena wale jamaa rangi nyeupe walivo kauzu! haloo! baada ya kichapo walimpa onyo! wakamwambia hivi ''nenda kaulizie zaire tulicho mfanya Mobutu!!! Bila kusahau Savimbi wa Angola!! Jiwe likawa dongo!!

Akaona kuna watu humu ndani wamemzunguka! ndo akaanza tumbua tumbua zileee unakumbuka?! nika mwambia mzee unahangaika tu! acha haya mambo, Mibeberu ndo zao! cha msingi jua kuishi nao tu! usione aibu kumuulizia Jakaya namna ya kuishi nao!! hakuniamini! Mmm pwiii!

Umewahi jiuliza kwa nini anakwepa kwenda Ulaya na Marekani na hataki kabisa watumishi pia waende huko!! zaidi ya wakimbizi wachache kina ANZOLI GWANDA, Lema, Lissu nk. siku hizi namtizama tuuu!!
 
Hivi yeye kama kazi yake ni kuwachagua wasiolala..., hii si ina maana kwa kuchagua kwake wanaolala na yeye indirectly amelala ?
 
Say leo nikihitaji kuwekeza kwenye kuzalisha Sukari, kwanini TIC wasini-guarantee kupata hati ya shamba then ntalipa in the period of 10 years;
Kwanini nihitaji heka 100,000 say kuzalisha mafuta ya kula; kwanini TIC wasiwe sehemu ya kuomba waiver ili uzalishaji wa mafuta ya kula ukuanza then nilipie kodi ya ardhi.

Tukifikiria as innovators, kw model ya Reverse Innovation toka kwa Vijay Govindarajan kuna lots of milestone can be achieved in relatively short time.
Nimesoma baadhi ya maoni kwenye bandiko lako hili.

Kuna kitu umekitaja kwenye orodha uliyoweka sikukielewa: ni kitu gani kinaitwa "mermart"?

Kuhusu hayo uliyoyaweka kwenye mistari niliyoi'quote' hapo juu; pamoja na kuwa ni ushauri mzuri unaoweza kutazamwa na kutekelezwa vizuri, lakini labda niulize - msaada kama huo unaopendekeza unatofauti gani kwa mfano na 'incentives' walizopewa walionunua viwanda kwa njia chee kabisa na kuvigeuza viwanda hivyo kuwa ma'godawn'?

Kuna mambo mengi sana zaidi ya hayo uliyotaja hapo juu, ambayo tayari yanafanyika, lakini bado maswala ya wananchi kuwekeza bado kunakuwa ni kwa kusuasua sana.

Kwa hiyo sio ajabu kabisa kwako, pamoja na kupewa 'guarantee na MSD' kuhusu ununuzi wa Bandage zako na surgical tools, bado ukaishia kwenye matatizo bila ya kuangalia vikwazo vingine utakavyokutana navyo.

Kuna kiwanda cha dawa hapo Keko na kule Arusha, hebu tupe mrejesho wake juu ya ufanisi wa viwanda hivyo kama unao. Hawa walipewa upendeleo sana kama unaoupendekeza, pengine itasaidia zaidi tukielewa matatizo mengine yaliyowakabili na kuishia na hali waliyonayo sasa.

I am all for incentives for investors (local and foreign), but we should be wary of emotions in recommending easy solutions that we feel are impendements to investments thriving in Tanzania.

I am fully aware that I have made no concrete recommendations, and even pointing out key stumbling blocks to investors. My only saving grace, however, is the fact of my belief that the issue of investments and their success in Tanzania is more complex than we think. We need to identify them and delineate them more carefully.
 
..wasubiri ipo siku atachaguliwa raisi toka kingolwira wataishi kwa raha sana.
Haya, kwa mtindo huo, kule 'mtiputipu' na wao watasubiri hadi wa kwao atakapopatikana ili na wao waneemeke? Sijui watampataje kutokana na kura bzao kuwa kiduchu sana!

Mtindo huu utatufikisha wapi kama waTanzania wataufumbia macho?

Kifupi ni kwamba, huu utakuwa ni mwanzo wa mambo tuliyokuwa tukiyasikia nchi nyingine na sio Tanzania.

Mwishowe wananchi wataanza kuona ni jambo la kawaida kabisa, kufanya kila juhudi mtu wao awe mahali hapo pa upendeleo. Tutaanza kuwaona viongozi wa eneo au kabila fulani wanaotokana na wingi wa kabila hilo au ukanda huo.

Tayari tunao washangiliaji wengi sana wa tabia hii mbaya hata humu humu JF.

Watu wenye akili zao timamu kabisa, hata watu waliojijengea heshima ndani ya jukwaa hili kwa misimamo yao madhubuti juu ya umoja wetu aliouasisi Mwalimu Nyerere kwa uangalifu mkubwa, leo hii wamegeuka na sio kufumba macho tu, bali kushangilia uovu huu.

Hapana, sijamzungumzia Mzee Mwanakijiji. Sijamsikia akishangilia haya ndani ya ukumbi huu. Angalau yeye kaamua kujinyamazia, pengine kama ishara ya kutoafiki na yanayotokea.
 
Nimesoma baadhi ya maoni kwenye bandiko lako hili.

Kuna kitu umekitaja kwenye orodha uliyoweka sikukielewa: ni kitu gani kinaitwa "mermart"?

Kuhusu hayo uliyoyaweka kwenye mistari niliyoi'quote' hapo juu; pamoja na kuwa ni ushauri mzuri unaoweza kutazamwa na kutekelezwa vizuri, lakini labda niulize - msaada kama huo unaopendekeza unatofauti gani kwa mfano na 'incentives' walizopewa walionunua viwanda kwa njia chee kabisa na kuvigeuza viwanda hivyo kuwa ma'godawn'?

Kuna mambo mengi sana zaidi ya hayo uliyotaja hapo juu, ambayo tayari yanafanyika, lakini bado maswala ya wananchi kuwekeza bado kunakuwa ni kwa kusuasua sana.

Kwa hiyo sio ajabu kabisa kwako, pamoja na kupewa 'guarantee na MSD' kuhusu ununuzi wa Bandage zako na surgical tools, bado ukaishia kwenye matatizo bila ya kuangalia vikwazo vingine utakavyokutana navyo.

Kuna kiwanda cha dawa hapo Keko na kule Arusha, hebu tupe mrejesho wake juu ya ufanisi wa viwanda hivyo kama unao. Hawa walipewa upendeleo sana kama unaoupendekeza, pengine itasaidia zaidi tukielewa matatizo mengine yaliyowakabili na kuishia na hali waliyonayo sasa.

I am all for incentives for investors (local and foreign), but we should be wary of emotions in recommending easy solutions that we feel are impendements to investments thriving in Tanzania.

I am fully aware that I have made no concrete recommendations, and even pointing out key stumbling blocks to investors. My only saving grace, however, is the fact of my belief that the issue of investments and their success in Tanzania is more complex than we think. We need to identify them and delineate them more carefully.
Niwie radhi kwa kuwa na makosa na kutoeleweka ilitakiwa isomeeke MEMART (Memorandum and Articles of Association).

Kuna masuala kadhaa umeyagusia, sina jibu la moja kwa moja ila kuna facts tutashirikishana hapa kama mjadala kupitia hizo facts, the we evaluate on how we can fill all pieces of a puzzle na tuwe na common ground.
 
Tatizo ni kwamba tumeshajenga utamaduni wa kushughulikia mahtaji ya elimu na mapungufu katika shule zetu kwa mtindo wa zimamoto, yaani tunangojea mpaka matokeo yatoke ndipo tunaanza kuhangaika na madarasa wakati hao watoto waliofaulu hawajatoka nje ya nchi, walikuwa hapahapa nchini.
Katika kila kata kuna waratibu wa elimu, watendaji wa kata, maafsa elimu, madiwani, wakurugenzi mpaka ngazi ya mkoa.
Hivyo kama kila mmoja atawajibika kwa nafasi yake ni rahisi kabisa kwsa kila kata , halmashauri, wilaya na mkoa kuweza kukusanya taarifa za mapungufu ya shule katika maeneo yao na tukaweza kubaini mahtaji kwa mwaka unaofuata na hivyo kuanza ujenzi wa madarasa mapema tu badala ya kusubiri hadi matokeo yatoke alafu tunaanza kuhangaika na ujenzi tena ikiwa ni kipindi cha msimu masika ambao si rafiki kwa ujenzi na hivyo mambo yanakuwa ya kuripuaripua kwa kigezo cha kukimbizana na mvua!
 
Niwie radhi kwa kuwa na makosa na kutoeleweka ilitakiwa isomeeke MEMART (Memorandum and Articles of Association).

Kuna masuala kadhaa umeyagusia, sina jibu la moja kwa moja ila kuna facts tutashirikishana hapa kama mjadala kupitia hizo facts we evaluate on how we can fill all pieces of a puzzle na tuwe na common ground.

Nimesoma baadhi ya maoni kwenye bandiko lako hili.

Kuna kitu umekitaja kwenye orodha uliyoweka sikukielewa: ni kitu gani kinaitwa "mermart"?

Kuhusu hayo uliyoyaweka kwenye mistari niliyoi'quote' hapo juu; pamoja na kuwa ni ushauri mzuri unaoweza kutazamwa na kutekelezwa vizuri, lakini labda niulize - msaada kama huo unaopendekeza unatofauti gani kwa mfano na 'incentives' walizopewa walionunua viwanda kwa njia chee kabisa na kuvigeuza viwanda hivyo kuwa ma'godawn'?

Kuna mambo mengi sana zaidi ya hayo uliyotaja hapo juu, ambayo tayari yanafanyika, lakini bado maswala ya wananchi kuwekeza bado kunakuwa ni kwa kusuasua sana.

Kwa hiyo sio ajabu kabisa kwako, pamoja na kupewa 'guarantee na MSD' kuhusu ununuzi wa Bandage zako na surgical tools, bado ukaishia kwenye matatizo bila ya kuangalia vikwazo vingine utakavyokutana navyo.

Kuna kiwanda cha dawa hapo Keko na kule Arusha, hebu tupe mrejesho wake juu ya ufanisi wa viwanda hivyo kama unao. Hawa walipewa upendeleo sana kama unaoupendekeza, pengine itasaidia zaidi tukielewa matatizo mengine yaliyowakabili na kuishia na hali waliyonayo sasa.

I am all for incentives for investors (local and foreign), but we should be wary of emotions in recommending easy solutions that we feel are impendements to investments thriving in Tanzania.

I am fully aware that I have made no concrete recommendations, and even pointing out key stumbling blocks to investors. My only saving grace, however, is the fact of my belief that the issue of investments and their success in Tanzania is more complex than we think. We need to identify them and delineate them more carefully.
Mkuu
Kwa soko la Tanzania hao Keko Pharmaceuticals kama wanazalisha dawa, bila shaka kila wanachozalisha kinanunulika. Kwa bahati nimekuwepo kwenye forum ya uwekezaji iliyoandaliwa na MSD 2018 na 2019; Kwa maelezo ya aliekuwa DG wa MSD (Laurean Bwanakunu). Na wakati huo, MSD walikuwa na tender ya kununua dawa duniani kote, na kusambaza kwenye "MSD" za SADC.

Nije kwenye hoja ya kwanini watu walipewa viwanda badala ya kuviendeleza wakafungia mbuzi;

1) Hawa watu walikuwa na DNA na entrepreneurial passion ya uwekezaji kuendeleza viwanda au walitumia viwanda kama assets za kuvuta mikopo kwa ajili ya trading then waka-service mikopo. Bila shaka kwa nature ya traders wengi akiwemo mmoja wa mabilionea wa Afrika akitokea hapa, wengi wao wanataka quick money and quick fix. Sio tu walichukua viwanda, walichukua mashamba kuendeleza mkonge, yet wakawa wanatumia kukopa na kuleta bidhaa kwa wingi (bulk purchase) toka ughaibuni, wana-rebag kwenye small bags then wanauza. Well, huo nao ni aina ya uwekezaji ambao sio endelevu na huoni ongezeko la thamani kwenye ujenzi wa uchumi/biashara jumuishi.

Nitoe mfano nje ya mada ila una-akisi msingi wa hoja yangu. TiDo Mhando alikuja toka BBC na JK kumpa u-boss wa iliyokuwa TUT kama sijakosea. Taasisi ya Utangazaji Tanzania ambae alimiliki RTD na TVT. Tido akafanya mageuzi makubwa na kuja na jina la TBC. TVT baada ya kuwa TBC walibamba kwelikweli kwa kuwa na vipindi vinavyovutia watu kutazama, in turn TBC ikawa inafanya biashara. Baada ya kuondoka TIDO na kuja Mshana, over a sudden wakawa flat then waka-decline. Mshana was a good and a professional journalist but not a leader who can drive change.

Ruge Mutahaba, alikuwa Marketing and Innovation expert ambae alitumia media kama entertaining tool ili kuvutia usilizaji wa vipindi na kuvutia biashara ya matangazo. Then wakaja na promotion za muziki kwa kutumia matamasha ya fiesta kwa kuanza na foreign music na local, eventually akawa brand local kupitia media promotion, eventually music wa Tanzania ukabamba kibiashara kuliko wa Congo na baada ya muda media pia ikawa fursa wasanii wa music kuanza kucheza role ya ubalozi wa makampuni, eventually clouds wakatengeneza hela wakatoka kuwa media iliyokuwa imekodi vyumba viwili NIC Investment mpaka wakapata jengo lao. Kulikuwa na Joe Kusaga kama MD, yet the brain behind lots of achievement ni Ruge.
Ruge was a good and a professional journalist/media presenter but not a leader who did drive change by using media to design marketing/promotions za makampuni mbalimbali kwa wao kuongeza thamani kufikia soko lao, in the course media pia ikawa inatengeneza hela. Leadership matters a lot if combined with innovation and passion.

Kuna wafanyabiashara hasa wenye asili la bara Asia, wapo kwa sababu za kihistoria ya kupata fedha wakati wa ukoloni kufungua makampuni ili kuuza/kusambaza huduma na bidhaa kwenye serikali ya kikoloni. Then hata uhuru ulipokuja walikuwa kwenye game. Ukisema uwashindanishe na Matuja ambae ni first generation ya kuwekeza wao wataoneka wana sifa in the sense wana hela za kutimiza masharti yote ya TIC kwanini wapewe certificate ya TIC na hata ardhi kwa lease.

What comes next, wana passion ya kuwekeza ili kutoa mchango wao ili kujenge inclusive and sustainable economy, au ndio wakipiga hela Tanzania/Africa wanahamia Canada na UK. Tafiti zaonesha wakipiga hela wanavuta fellow indians toka India, waliokuwa hapa wanafungua ofisi Canada na UK then baada ya muda wanahamia huko.

Subash Patel somehow, ila behind him kuna "wanene" kibao.

Tukija na kitu kama Silcon Valley au Haifa kwa israel, kuna maajabu yatafanyika.'

It needs oxygen, moisture and temperature for a seed to germinate. Then it needs carbon dioxide, oxygen, moisture and soil fertility to have maximum productivity and obtain harvest. Moisture and soil fertility are enforceable, without deliberate effort to ensure they are available the crop won't produce a desired harvest. Bila CAPEX na OPEX, we may sing all kind of songs, JPM ataondoka miaka 4 ijayo bado tunashangaa tunakwama wapi.

last but not least; kama waijua Nyamongo Tarime kabla ya ujio wa East Africa Gold ambayo ndio North Mara Barrick ya leo, wakurya walichimba madini na kuuza Kenya na kwingineko kwa majembe, sululu and the like weak technology. Ujio wa "wawekezaji" kwa kutumia technology, bila shaka volume ya gold waliyokwapua ni kubwa kuliko muda wote ambao wakurya walichimba.

My point, we need right leadership in place, collaboration kati ya private na public in tusiingizwe chaka, then with DNA ya innovation na kutumia technology, we can get a lot in short notice.

It should always known uwepo wa kiwanda ambavyo kwa hakika havihitaji nguvu nyingi ya kimasoko ili kuingiza bidhaa,
18% ya mauzo goes to the govt
20 ya value mishahara goes to pension funds (govt)
PAYE goes to the govt
WCF goes to the govt
Mauzo ya maji/umeme 18%,+1%+3% VAT, EWURA, REA (Govt)
30% corporate tax (govt)

Kwa msingi huo, kuna namna ambayo hazina ilitakuwa kuwa more proactive to see things are happening unlike kuwa passive. Unless kama mimi sioni vema, naomba kusahihishwa.

I guess I have filled you with facts, but probably I have not been able to fill all pieces in a puzzle.
 
Kwa soko la Tanzania hao Keko Pharmaceuticals kama wanazalisha dawa, bila shaka kila wanachozalisha kinanunulika.
Lakini hawaonyeshi dalili za kusonga mbele, badala yake kiwanda kinazidi kunyong'onyea!

Kuna mambo mengi tunayafanya kwa kurashishia rashia tukitegemea kuona matokeo makubwa na endelevu.

Ninapoandika "tunafanya" maana yangu ni serikali/viongozi na sisi wananchi kiujumla; pengine hii ndio DNA ambayo bado inatusumbua.

Bila kutaka kukuchosha na mtazamo wangu huu, nitoe mfano tu.

Tanzania kama taifa huru, tunao umri takribani wa miaka 60 hivi. Kila mara tunayo mipango ya maendeleo ya miaka mitano mitano tokea wakati huo. Kama kuna mambo tuliyodhamiria kuyafanya na matokeo yawe ya kuonekana, labda ni wingi wa watoto wanaoingia mashuleni na mengine kadhaa, lakini yote sio mambo makubwa ya kuonyesha mshindo.

Israel, Pakistan, India kutokana na hali hatarishi iliyowakabili kiusalama, mataifa hayo yalidhamiria kufanya jambo kwa dhati, na katika muda maalum. Dhamira zao hizo zilizaa walicholenga kukipata katika muda huo maalum. Hawakupapasapapasa tu na kuishia njiani kwa matokeo hafifu kama tunayoyapata sisi katika kila nyanja.
Nchi kama Israel na Taiwan, walidhamiria kuwa na 'Chemical industries' za uhakika, na waka-'mobilize' kufikia malengo katika eneo hilo. Sisi hapa pamoja na kuwa na mali ghafi za kutosha, na hata wasomi tunaoweza kuwa-'organize' na kuwapa uwezo wa kufanya kazi kama hiyo, mipango ya namna hiyo kwetu ni kama miujiza.
Tunapapasapapasa tu na kwenda zetu. Angalia matokeo ya "Kilimo Kwanza", hata kabla ya kufika popote, tumekwishaondoka na kufanya mengine hata yale ambayo hatukuwahi kuyaweka katika mipango yetu ya muda maalum.

Tunakosa uongozi unaoweza kupanga na kusimamia mipango yetu maalum inayoweza kuleta mageuzi makubwa , endelevu na ya faida kubwa kwa taifa letu.

Pengine nimetoka kwenye mjadala wa uwekezaji, lakini tabia zetu hizi zina uhusiano bila kujali nyanja inayozungumziwa.
 
Lakini hawaonyeshi dalili za kusonga mbele, badala yake kiwanda kinazidi kunyong'onyea!

Kuna mambo mengi tunayafanya kwa kurashishia rashia tukitegemea kuona matokeo makubwa na endelevu.

Ninapoandika "tunafanya" maana yangu ni serikali/viongozi na sisi wananchi kiujumla; pengine hii ndio DNA ambayo bado inatusumbua.

Bila kutaka kukuchosha na mtazamo wangu huu, nitoe mfano tu.

Tanzania kama taifa huru, tunao umri takribani wa miaka 60 hivi. Kila mara tunayo mipango ya maendeleo ya miaka mitano mitano tokea wakati huo. Kama kuna mambo tuliyodhamiria kuyafanya na matokeo yawe ya kuonekana, labda ni wingi wa watoto wanaoingia mashuleni na mengine kadhaa, lakini yote sio mambo makubwa ya kuonyesha mshindo.

Israel, Pakistan, India kutokana na hali hatarishi iliyowakabili kiusalama, mataifa hayo yalidhamiria kufanya jambo kwa dhati, na katika muda maalum. Dhamira zao hizo zilizaa walicholenga kukipata katika muda huo maalum. Hawakupapasapapasa tu na kuishia njiani kwa matokeo hafifu kama tunayoyapata sisi katika kila nyanja.
Nchi kama Israel na Taiwan, walidhamiria kuwa na 'Chemical industries' za uhakika, na waka-'mobilize' kufikia malengo katika eneo hilo. Sisi hapa pamoja na kuwa na mali ghafi za kutosha, na hata wasomi tunaoweza kuwa-'organize' na kuwapa uwezo wa kufanya kazi kama hiyo, mipango ya namna hiyo kwetu ni kama miujiza.
Tunapapasapapasa tu na kwenda zetu. Angalia matokeo ya "Kilimo Kwanza", hata kabla ya kufika popote, tumekwishaondoka na kufanya mengine hata yale ambayo hatukuwahi kuyaweka katika mipango yetu ya muda maalum.

Tunakosa uongozi unaoweza kupanga na kusimamia mipango yetu maalum inayoweza kuleta mageuzi makubwa , endelevu na ya faida kubwa kwa taifa letu.

Pengine nimetoka kwenye mjadala wa uwekezaji, lakini tabia zetu hizi zina uhusiano bila kujali nyanja inayozungumziwa.
Ndugu yangu,
Attitude ya Watanzania towards development ni very key ili tutoboe. Kuna wakati kulikuwa na malalamiko ya kweli, kuna scholarships zinakuja balozi za mataifa ya nje nchi Tanzania ili Watanzania wakasome kwenye hizo nchi; watu wanapiga kimya kama hakuna fursa ya kuwapa ndugu zao. Wale waliokuwa somehow agresive, "wanauza". Ili mtu upewe taarifa za kutosha kuhusu scholrship "bila hela hupati".

Wakati TIN zinatoka kwa mara ya kwanza, baadhi ya maafisa TRA walikuwa wanauza TIN. Ili kupata leseni ya udereva hasa class C hata kama una sifa zote, lazima watu "wavute".
Ili mstaafu apate haki yake, mafao ya kustaafu, bila "kuwatoa wanaoidhinisha"; wazee walipoteza muda wa kutosha kusafiri mpaka Dar kufuatilia mafao.

Tujichunguza, waliokuwa wanafanya kazi hizo na ucheleweshaji, umangimeza, na kupotezea muda bado wako kazini na kuna wengine walidhania hiyo ndio life style. Ujio wa JPM kuchagiza kujenga uchumi wa viwanda, tusitegemee attitude ya hao wanataka "kula" ili kutoa huduma watabadilika overnight.

Ndio maana wawekezaji pia tumewahi kusikia wamekuwa, wanatakiwa kununua Transformer ili wawekewe umeme, yet watalipia ankara za umeme.

Hiyo ndio attitude imekuwepo kwa muda wa kutosha hasa kwenye mifumo ya watoa huduma serikalini. Na wao watoa huduma, mishahara ipo mwisho wa mwezi wether mambo yanaenda au yanakwama.
Hivyo basi, kama mchakato wa kutaka mambo yafanyike (the passion and attitude to make things happen) kama iko chini sana kwa watoa huduma, itamuhitaji Mhe. Rais kutoa agizo hata kwenye mambo ambayo yako ndani ya maafisi kwenye idara za serikali.
 
JPM kuchagiza kujenga uchumi wa viwanda
Eeenh heeee!

Hiyo uliyoandika hapo juu ni mfano mzuri wa yale ya "kupapasapapasa" bila lolote la maana kufanyika!

Haya, tuendelee kusubiri 'viwonder'.

Nasikia zaidi ya 'viwonder' 8,000 tayari tumevijenga. Hongera sana Tanzania!
 
Back
Top Bottom