johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,448
Rais Magufuli amesema serikali za mitaa ndio chachu ya maendeleo katika sekta zote hivyo amevitaka vyama vya siasa kuteua wagombea wazalendo na waadilifu.
Rais Magufuli amesema maendeleo hayana vyama hivyo iwe Chadema, Cuf, Act, CCM na vyama vingine vya siasa viwe na uzalendo wa kutuletea wagombea wanaotosha.
Kadhalika amewataka wananchi kuwa makini wakati wa kuchagua na kuwakwepa wagombea wababaishaji.
Chanzo: Star tv!
Maendeleo hayana vyama!
Rais Magufuli amesema maendeleo hayana vyama hivyo iwe Chadema, Cuf, Act, CCM na vyama vingine vya siasa viwe na uzalendo wa kutuletea wagombea wanaotosha.
Kadhalika amewataka wananchi kuwa makini wakati wa kuchagua na kuwakwepa wagombea wababaishaji.
Chanzo: Star tv!
Maendeleo hayana vyama!