Rais Magufuli awashangaza wakazi wa Tinde

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
14,982
9,873
Nilikuwa nasafiri kutoka Musoma kwenda Dar kwa bus la Osaka, tulivyofika Tinde tulisimamishwa kupisha msafara wa mkubwa uliokuwa ukielekea chato. Basi kuna jamaa akaanza kubwata mara ooh msafara wake una magari mia, mara ooh kwanini asipande helkopta, mara madereva wake wanaendesha kama wehu. Mwoshowe abiria tukachoshwa na kelele za yule bwana tukaamua kushuka kwenye gari na kwenda njiapanda kushuhudia msafara wa mkuu.

Muda si mrefu JPM aliwasili magari yake yalikuwa katika mwendo wa taratibu huku sheria za barabarani zikizingatiwa, msafara wake ulikuwa na magari sita tu tena matatu yakiwa ya polisi watu walishangaa sana. Na kila mtu aliyekuwa pale alimsifu, mamalishe mmoja akawa anasema wamezoea kuona magari ya serikali yakiendeshwa kwa mwendo wa kasi sana lakini msafara huu ndio wakwanza kupita eneo la Tinde ukiwa katika mwendo wa kawaida.

Tulivyorudi kwenye bus abiria walianza kumshambulia yule bwana huku wakimkejeli kwa kumuuliza kahesabu magari mangapi kwenye msafara? yule bwana akaanza kujifaragua ati JPM kaamua kupanda gari la polisi kuokoa pesa watu wakamzomea na kuangua vicheko.
 
Jpm kwa kubana matumizi yuko vzr sana.

Jpm kwa kudhibiti rushwa na ufisadi yuko vzri sana.

Jpm kwa kujenga nidhamu ktk utumishi wa umma yuko vzr sana.

Jpm kwa kuwajali wanyonge yuko vzr sana.

KASORO KUBWA ya Jpm ni kuminya demokrasia na uhuru wa kutoa maoni.
 
Magari 6 ina maana mkuu wa mkoa wa Tabora na mkuu wa wilaya ya Nzega na watumishi wengine hawakuwepo? Mkuu wa mkoa wa shinyanga na mkuu wa wilaya pia hakuwepo? Maafisa police nao hawakuwepo? ccm bana
wawepo wanini wakati mzee alikuwa anenda zake likizo, alikuwepo RPC wa Tabora na Shinyanga tena wakiwa na matrafik wa kusimamisha magari na kuongoza msafara tu. Kweli Mzee anaishi maisha simple sana.
 
Hivi wewe ndio Ripota wa Ikulu?! Ni nani anayekulipa kwa kazi hii? Yaani hii nayo utaita ni Taarifa?
 
we
Nilikuwa nasafiri kutoka Musoma kwenda Dar kwa bus la Osaka, tulivyofika Tinde tulisimamishwa kupisha msafara wa mkubwa uliokuwa ukielekea chato. Basi kuna jamaa akaanza kubwata mara ooh msafara wake una magari mia, mara ooh kwanini asipande helkopta, mara madereva wake wanaendesha kama wehu. Mwoshowe abiria tukachoshwa na kelele za yule bwana tukaamua kushuka kwenye gari na kwenda njiapanda kushuhudia msafara wa mkuu.

Muda si mrefu JPM aliwasili magari yake yalikuwa katika mwendo wa taratibu huku sheria za barabarani zikizingatiwa, msafara wake ulikuwa na magari sita tu tena matatu yakiwa ya polisi watu walishangaa sana. Na kila mtu aliyekuwa pale alimsifu, mamalishe mmoja akawa anasema wamezoea kuona magari ya serikali yakiendeshwa kwa mwendo wa kasi sana lakini msafara huu ndio wakwanza kupita eneo la Tinde ukiwa katika mwendo wa kawaida.

Tulivyorudi kwenye bus abiria walianza kumshambulia yule bwana huku wakimkejeli kwa kumuuliza kahesabu magari mangapi kwenye msafara? yule bwana akaanza kujifaragua ati JPM kaamua kupanda gari la polisi kuokoa pesa watu wakamzomea na kuangua vicheko.
weka picha
 
Magari 6 ina maana mkuu wa mkoa wa Tabora na mkuu wa wilaya ya Nzega na watumishi wengine hawakuwepo? Mkuu wa mkoa wa shinyanga na mkuu wa wilaya pia hakuwepo? Maafisa police nao hawakuwepo? ccm bana
Jamaa aliwaambia wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya asiwaone barabarani... anataka kumuona Rpc peke yake kwenye msafara....maafsa wa polisi walikuwepo bt ilikuwa ni kwa utashi wa rpc... Afuu jamaa alipofika nzega akagundua njia nzima wapo askar mpaka mwanza akabadilisha barabara na kupitia njia ya kahama ushirombo mpaka geita..hayo maamuzi yalifanyika baada ya kutoka nzega.. yaani hakuta mambo meeengiiii kama bwana yuleeee....
 
Hahahahahahaha inaonekana hata shule alifaulu kufeli huyu tena Kwa kiwango cha lami
 
Jpm kwa kubana matumizi yuko vzr sana.

Jpm kwa kudhibiti rushwa na ufisadi yuko vzri sana.

Jpm kwa kujenga nidhamu ktk utumishi wa umma yuko vzr sana.

Jpm kwa kuwajali wanyonge yuko vzr sana.

KASORO KUBWA ya Jpm ni kuminya demokrasia na uhuru wa kutoa maoni.
Mbona hapa unatoa maoni?
 
Nilikuwa nasafiri kutoka Musoma kwenda Dar kwa bus la Osaka, tulivyofika Tinde tulisimamishwa kupisha msafara wa mkubwa uliokuwa ukielekea chato. Basi kuna jamaa akaanza kubwata mara ooh msafara wake una magari mia, mara ooh kwanini asipande helkopta, mara madereva wake wanaendesha kama wehu. Mwoshowe abiria tukachoshwa na kelele za yule bwana tukaamua kushuka kwenye gari na kwenda njiapanda kushuhudia msafara wa mkuu.

Muda si mrefu JPM aliwasili magari yake yalikuwa katika mwendo wa taratibu huku sheria za barabarani zikizingatiwa, msafara wake ulikuwa na magari sita tu tena matatu yakiwa ya polisi watu walishangaa sana. Na kila mtu aliyekuwa pale alimsifu, mamalishe mmoja akawa anasema wamezoea kuona magari ya serikali yakiendeshwa kwa mwendo wa kasi sana lakini msafara huu ndio wakwanza kupita eneo la Tinde ukiwa katika mwendo wa kawaida.

Tulivyorudi kwenye bus abiria walianza kumshambulia yule bwana huku wakimkejeli kwa kumuuliza kahesabu magari mangapi kwenye msafara? yule bwana akaanza kujifaragua ati JPM kaamua kupanda gari la polisi kuokoa pesa watu wakamzomea na kuangua vicheko.
Weka photo ili ueleweke vizuri. Mbona jpm kaja chato kwa helkopita?
 
wawepo wanini wakati mzee alikuwa anenda zake likizo, alikuwepo RPC wa Tabora na Shinyanga tena wakiwa na matrafik wa kusimamisha magari na kuongoza msafara tu. Kweli Mzee anaishi maisha simple sana.
Hebu acha fix mzee!
 
Jpm kwa kubana matumizi yuko vzr sana.

Jpm kwa kudhibiti rushwa na ufisadi yuko vzri sana.

Jpm kwa kujenga nidhamu ktk utumishi wa umma yuko vzr sana.

Jpm kwa kuwajali wanyonge yuko vzr sana.

KASORO KUBWA ya Jpm ni kuminya demokrasia na uhuru wa kutoa maoni.

Ingekuwa usemalo ni kweli wewe ungeyaandika haya? Au hujui kuminywa uhuru wa kutoa maoni kukoje? Akili za kuambiwa............!
 
wawepo wanini wakati mzee alikuwa anenda zake likizo, alikuwepo RPC wa Tabora na Shinyanga tena wakiwa na matrafik wa kusimamisha magari na kuongoza msafara tu. Kweli Mzee anaishi maisha simple sana.
Anaishi maisha simple ya kupewa kila kitu, lkn anasahau kuna wafanyakazi wa umma wananunua kila kitu kwa kulipwa sh. 300,000 kwa mwezi. Anachofanya ni kulaghai watu kwa mgongo wa chupa
 
Nilikuwa nasafiri kutoka Musoma kwenda Dar kwa bus la Osaka, tulivyofika Tinde tulisimamishwa kupisha msafara wa mkubwa uliokuwa ukielekea chato. Basi kuna jamaa akaanza kubwata mara ooh msafara wake una magari mia, mara ooh kwanini asipande helkopta, mara madereva wake wanaendesha kama wehu. Mwoshowe abiria tukachoshwa na kelele za yule bwana tukaamua kushuka kwenye gari na kwenda njiapanda kushuhudia msafara wa mkuu.

Muda si mrefu JPM aliwasili magari yake yalikuwa katika mwendo wa taratibu huku sheria za barabarani zikizingatiwa, msafara wake ulikuwa na magari sita tu tena matatu yakiwa ya polisi watu walishangaa sana. Na kila mtu aliyekuwa pale alimsifu, mamalishe mmoja akawa anasema wamezoea kuona magari ya serikali yakiendeshwa kwa mwendo wa kasi sana lakini msafara huu ndio wakwanza kupita eneo la Tinde ukiwa katika mwendo wa kawaida.

Tulivyorudi kwenye bus abiria walianza kumshambulia yule bwana huku wakimkejeli kwa kumuuliza kahesabu magari mangapi kwenye msafara? yule bwana akaanza kujifaragua ati JPM kaamua kupanda gari la polisi kuokoa pesa watu wakamzomea na kuangua vicheko.
Wewe ni muongo mnafiki na mzandiki mkubwa huo msafara mimi nilikuwepo kulikuwa na magari ya kutosha na kulikuwa na magari zaid ya 11 huku zikiwepo gari tatu nyeusi zilizo kuwa zikipita kama zinashindana katikati ya barabara kwa speed kali sana na kabla ya hapo ilipita cruiser ya patrol zaid ya mara tano ikiwa na askari nyuma aisee kweli watanzania wana sifa kuu ya unafiki, au unadhani uliye lishuhudia tukio lile ulikuwa peke yako kati ya mabasi yote ya pale na yale malori yaliyo paki nyuma pale? Hata kama kujipendekeza mkuu umevuka mipaka zaid.
 

Similar Discussions

17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom