Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,548
- 6,102
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. John Joseph Pombe Magufuli, ampandisha cheo cha Meja Jenerali, Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Brigedia Charles Mbuge.
Mkuu wa majeshi ya ulinzi ya wananchi wa Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo ndiye aliyemfisha cheo hicho kipya leo tarehe 3/6/2020 makao makuu ya JWTZ ya muda yaliyopo Msalato jijini Dodoma.
Rais wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amempandisha cheo Bregedia Jenerali Suleiman Mzee kuwa Meja Jenerali ambaye pia ni Kamishna Jenerali wa Magereza. Pichani akipongezwa na Maofisa wa Jeshi la Magereza, leo jijini Dodoma.
Mkuu wa majeshi ya ulinzi ya wananchi wa Tanzania, Jenerali Venance Mabeyo ndiye aliyemfisha cheo hicho kipya leo tarehe 3/6/2020 makao makuu ya JWTZ ya muda yaliyopo Msalato jijini Dodoma.