figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Waumini wa Kiislamu mkoa wa Pwani wakiswali swala ya Magharibi kabla ya kupata futari iliyoandaliwa na Rais Dkt John Pombe Magufuli katika Ikulu ndogo mjini Kibaha akiwa katika siku ya pili ya ziara yake ya siku tatu mkoani Pwani