Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Umebaki kushagilia huku shida zinakupiga kinyama, utakaa kwa shemeji yako muda mrefu sanaNoma sana hadi unashindwa kula unakalia kulialia tu wapeleke ufipa
Umebaki kushagilia huku shida zinakupiga kinyama, utakaa kwa shemeji yako muda mrefu sanaNoma sana hadi unashindwa kula unakalia kulialia tu wapeleke ufipa
Angalia tv.Waambie TBC sauti ya redio ipo chini sana....
Mkuu, Msigwa ni msemaji wa Rais, Dkt Abbas ni msemaji wa serikali na Polepole ni msemaji wa chama.. Note that.Lazima kuwe na tofauti kati ya msemaji wa Serikali na msemaji wa chama,sasa hapo msigwa ni msemaji wa nini?na polepole anakazi gani?
Wewe vipi hujaalikwa unasifia wanaokula kodi yako akili nyingineNi sahihi kabisa kujipongeza wakiwa na Mwenyekiti wao.Wao ndio Chama tawala.Watakula, watakunywa na watapiga picha nyingi na maisha yataendelea.
Nilikuwa Songea nikanyonga tibisi efem nipate miziki nikafeliWaambie TBC sauti ya redio ipo chini sana....
Ndio rais anaingia ukumbini wajumbe wa halmashauri kuu ya ccm wamekaribishwa ikulu kumbuka ikulu hii ni sehemu ya ilani ya ccm 2015-2020 leo wanavuna matunda ya kazi kubwa ya ccm
Wasanii kama wote wameungana na chama dume ccm diamond. Kiba .zuchu.na n.k kama kawa
Karibu
USSR
Njoo nikulishe wewe na mmeo kama vipi?Umebaki kushagilia huku shida zinakupiga kinyama, utakaa kwa shemeji yako muda mrefu sana
Yule mbunge jangili wa kishapu Nchambi tangu show ianze yuko mbele anacheza kila mziki huku akimwangalia magufuli aisee
Simu yenyewe unatumia ya shemeji yako kaacha chajiNjoo nikulishe wewe na mmeo kama vipi?
Sasa hivi amepanda jukwaani kabisa,ahahahHahahhahah nimuona hapa jamaa atakuwa keshapiga mvinyo
Ulitaka igeuke kuwa shina la ufipa, au?Ikulu imegeuka shina la CCM
Katika namna ya kipekee sherehe kabambe inaendelea viwanja vya Ikulu Chamwino kwa wajumbe wote wa mkutano mkuu, wasanii pro CCM na waalikwa wengine ikiwa ni kuiaga rasmi Ikulu kwa Chama cha Mapinduzi ambacho kimeitumia kwa takribani miaka 59.
Ni ubunifu wa kipekee wa Rais Magufuli kuona badala ya kuondoka kimya kimya hapo 25/10/2020 bora Leo hii wanaccm wafaidi mapochopocho katika eneo hilo kabla hawaja likabidhi kwa chama kingine.
Hongera Magufuli kwa maono yako ambayo wengi hawajaelewa bado.
View attachment 1504422
Tete unapiga makofi wenzako wanafaidi wewe shida zinakumaliza, endelea kushangilia wanaume wenzakoUlitaka igeuke kuwa shina la ufipa, au?
Huku mitaani kipindi hiki ukiwanunulia watu/wananchi/wanachama chakula, unakamatwa na TAKUKURU kwa madai ya rushwa. Mzee anatoa rushwa waziwazi bele yaya waandishi wa habari wa vyombo mbali mbali wala hakuna wa kumuuliza, bali wanampongeza. Hiki ni kituko.
Kweli nimeamini jamaa kalewa Sana jamaa kagoma kukaaa kabsaHahahhahah nimuona hapa jamaa atakuwa keshapiga mvinyo
Kweli nimeamini jamaa kalewa Sana jamaa kagoma kukaaa kabsa