Rais Magufuli aubadilisha jina uwanja wa Taifa, Rasmi kuitwa "Mkapa stadium"

Rip mzee Mkapa hakupenda vitu viitwe kwa jina na hata mapenzi yake kwa timu ya wananchi ya Yanga hakuyaweka hadharani.

Ombi la muda mrefu tangu pale uwanja ulipokamilika la kutaka uwanja huo mpya "kwa mchina" uitwe Mkapa National Stadium, limekubaliwa na Rais Magufuli.

Yanga hoyeeee..........Simba hoyeeee....... Azam hoyeeee......!

Maendeleo hayana vyama!

Yanga ipi? Hii hii waliyoambiwa ni mbwa?
 
Back
Top Bottom