Kama ni kweli basi huu ni upendeleo mkubwa,mbona yule mwana dada shabiki wa simba shose kama sikosei aliyekufa kwa ajali akiwa na akina mkude mkuu hakutoa salamu za rambirambi wanasimba hatujafurahia
Rais Magufuli ametuma rambirambi kwa familia, wanachama wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) na Uongozi na Wanachama wa Klabu ya Yanga kutokana na kifo cha shabiki maarufu, Ali Mohamedi maarufu kama Ali Yanga.
Lazima Apewe pole kukimbiza Mwenge Si mchezoKama ni kweli basi huu ni upendeleo mkubwa,mbona yule mwana dada shabiki wa simba shose kama sikosei aliyekufa kwa ajali akiwa na akina mkude mkuu hakutoa salamu za rambirambi wanasimba hatujafurahia
ndio maana kumbe sipendi Yanga