nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
wewe umeshaambiwa unga mkono juhudi,hakuna mtu mwenye akili nci hii kama Jiwe,wewe kubali kila anachosema,usibisheLakini unatambua Kuwa halmashauri zinahitaji mapato ya ndani Kwa ajili ya kujiendesha?