Rais Magufuli atoe tamko kuhusu Uchaguzi S/Mitaa kunusuru Taifa?

Mzalendo2015

JF-Expert Member
Aug 14, 2012
6,697
9,048
HAKI HUINUA TAIFA kwa kuanzia!

Kwa hali inavyo onekana Uchaguzi wa Serkali za Mitaa(SM) 2019 huenda ukavuruga amani,
upendo na mshikamano tulio nao Watz.

Vitendo na Vituko vinavyofanywa na Wasimamizi wa Uchaguzi huu(Serikali~TAMISEMI)dhidi ya vyama pinzani ni uonevu usiovumilika!

Haiwezekani kila kitongoji, mtaa na kata wapinzani wote aidha wakosee kujaza fomu au wawe hawana sifa!

Hili ni jambo lisilo ingia akilini hata kidogo. Kinacho onekana hapa ni mkakati wa kuhakikisha upinzani hawapati nafasi yoyote.

Rais kama mlinzi nambari waheed wa Taifa anatakiwa atoe tamko katika hili.

Kukaa kwake kimya itaonekana na yeye ni sehemu ya mkakati huu!

Kwa ushauri ni kwamba wapinzani wapewe equal opportunity wapambane kwenye sanduku la kura Watanzania waamue wenyewe wanamtaka nani?

Kila Mwananchi ameona mafanikio ya CCM chini ya uongozi wa JPM katika hii miaka 4. Hivo hakukuwa na sababu ya kuminyana na Wapinzani kwa kutumia mbinu nje ya ballot box!
 
HAKI HUINUA TAIFA kwa kuanzia!
Kwa hali inavyo onekana Uchaguzi wa Serkali za Mitaa(SM) 2019 huenda ukavuruga amani,upendo na mshikamano tulio nao Watz.
Vitendo na Vituko vinavyofanywa na Wasimamizi wa Uchaguzi huu(Serikali~TAMISEMI)dhidi ya vyama pinzani ni uonevu usiovumilika!
Haiwezekani kila kitongoji, mtaa na kata wapinzani wote aidha wakosee kujaza fomu au wawe hawana sifa!
Hili ni jambo lisilo ingia akilini hata kidogo. Kinacho onekana hapa ni mkakati wa kuhakikisha upinzani hawapati nafasi yoyote.

Rais kama mlinzi nambari waheed wa Taifa anatakiwa atoe tamko katika hili.
Kukaa kwake kimya itaonekana na yeye ni sehemu ya mkakati huu!

Kwa ushauri ni kwamba wapinzani wapewe equal opportunity wapambane kwenye sanduku la kura Watanzania waamue wenyewe wanamtaka nani? Kila Mwananchi ameona mafanikio ya CCM chini ya uongozi wa JPM katika hii miaka 4. Hivo hakukuwa na sababu ya kuminyana na Wapinzani kwa kutumia mbinu nje ya ballot box!
Tamko la nini? kwani tutamfanya nini? All majeshi are at his disposal,,, utafanya nini?
 
HAKI HUINUA TAIFA kwa kuanzia!
Kwa hali inavyo onekana Uchaguzi wa Serkali za Mitaa(SM) 2019 huenda ukavuruga amani,upendo na mshikamano tulio nao Watz.
Vitendo na Vituko vinavyofanywa na Wasimamizi wa Uchaguzi huu(Serikali~TAMISEMI)dhidi ya vyama pinzani ni uonevu usiovumilika!
Haiwezekani kila kitongoji, mtaa na kata wapinzani wote aidha wakosee kujaza fomu au wawe hawana sifa!
Hili ni jambo lisilo ingia akilini hata kidogo. Kinacho onekana hapa ni mkakati wa kuhakikisha upinzani hawapati nafasi yoyote.

Rais kama mlinzi nambari waheed wa Taifa anatakiwa atoe tamko katika hili.
Kukaa kwake kimya itaonekana na yeye ni sehemu ya mkakati huu!

Kwa ushauri ni kwamba wapinzani wapewe equal opportunity wapambane kwenye sanduku la kura Watanzania waamue wenyewe wanamtaka nani? Kila Mwananchi ameona mafanikio ya CCM chini ya uongozi wa JPM katika hii miaka 4. Hivo hakukuwa na sababu ya kuminyana na Wapinzani kwa kutumia mbinu nje ya ballot box!
Ameshatoa tamko tayari hili hapa chini
 

Attachments

  • IMG-20191109-WA0002.jpg
    IMG-20191109-WA0002.jpg
    32.3 KB · Views: 1
HAKI HUINUA TAIFA kwa kuanzia!
Kwa hali inavyo onekana Uchaguzi wa Serkali za Mitaa(SM) 2019 huenda ukavuruga amani,upendo na mshikamano tulio nao Watz.
Vitendo na Vituko vinavyofanywa na Wasimamizi wa Uchaguzi huu(Serikali~TAMISEMI)dhidi ya vyama pinzani ni uonevu usiovumilika!
Haiwezekani kila kitongoji, mtaa na kata wapinzani wote aidha wakosee kujaza fomu au wawe hawana sifa!
Hili ni jambo lisilo ingia akilini hata kidogo. Kinacho onekana hapa ni mkakati wa kuhakikisha upinzani hawapati nafasi yoyote.

Rais kama mlinzi nambari waheed wa Taifa anatakiwa atoe tamko katika hili.
Kukaa kwake kimya itaonekana na yeye ni sehemu ya mkakati huu!

Kwa ushauri ni kwamba wapinzani wapewe equal opportunity wapambane kwenye sanduku la kura Watanzania waamue wenyewe wanamtaka nani? Kila Mwananchi ameona mafanikio ya CCM chini ya uongozi wa JPM katika hii miaka 4. Hivo hakukuwa na sababu ya kuminyana na Wapinzani kwa kutumia mbinu nje ya ballot box!
"KUKAA KWAKE KIMYA ITAONEKANA NA YEYE NI SEHEMU YA MKAKATI HUU"
PIGIA MSTARI HAYO MANENO MAANA NDIO UKWELI HUO.
 
Maridhiano ni kitu kizuri sana, haswa wakati kunapokuwa sintofahamu. Ni jambo la kushangaza kuona wizara iliyo vurunda ipo ofisi ya Rais na yeye kama mkuu hajaongea chochote hadi sasa. Je, tuelewe kuwa Rais kabariki yanayoendelea, na kabariki vyama vilivyo jitoa kutowakilishwa?

Je, hata kukiwa na ushindi wa asilimia 100 atajisikia vizuri kuongoza nchi ya chama kimoja?

Kwani akikaa nao meza moja kwa maridhiano atapungukiwa nini?

Mbona Uhuru na Raila wapo pamoja!

Mheshimiwa Rais wetu huu ndio muda mwafaka wa kuviita vyama vya siasa na kuweka makando kando yote pembeni kwa heshima na demokrasia ya nchi.
 
Sasa mkuu sijui unataka Rais akawafundishe kujaza fomu??

Hivi nyie mpo serious kweli.

Naona mnaleta michezo
Kwanini wote wanaokosea wawe wagombea wa upinzani pekee??

Jibu ni kuwa hao wasimamizi wa uchaguzi wamepewa "maagizo" maalum na Jiwe.....

Hebu jiulize mgombea wa upinzani anajaza chama chake cha upinzani kinaitwa Chadema au ACT wazakendo, anaambiwa amekosea kujaza kwa kuwa hajaandika kirefu cha chama chake!

Lakini hapo hapo mgombea wa chama tawala anaandika chama chake ni CCM, anaambiwa kapatia kwa asilimia 100!
 
Hivi kupiga kura ni lazima??
Nimeuliza ili wenye uelewa na hili waifafanulie tafadhali
 
Back
Top Bottom