Unamzungumzia Paskali Mayala ?Yule mwenye njaa huku ina maana pamoja na kusifia hivyo hajakumbuka jamani?
Mzee wa vijisenti ana miaka mingapi ?Mwanri na Mkuchika nani anatakiwa akalee wajukuu!
Sijataja mimi umesema weweUnamzungumzia Paskali Mayala ?
Huyo November anachukua mikoba ya MsigwaUnamzungumzia Paskali Mayala ?
Sijajua man. Unamuongelea Dr. Rehema Nchimbi sio?Hivi Mwanri na yule mama RC wa Singida nani kijeba...au mwili wa mama ni wa papai umri bado.
WoteMwanri na Mkuchika nani anatakiwa akalee wajukuu!
Mikoa ya mipakani ni vema kuweka watu wenye uelewa na maswala ya ulinziNaona kuteua maafisa wa jeshi kwenye nafasi za kisiasa sasa limekuwa jambo la kawaida.
Katiba yetu haitaki Afisa wa jeshi awe mwanachama wa chama chochote cha siasa.
Wa Mwanza umri haujaenda badoNaomba kupata ufafanuzi hivi sheria imekaaje kuhusu wakuu wa Mikoa na Wilaya kustaafu. Nilikuwa nikidhani hawa watu hawana mamb ya kustaafu.
Lakini katika kipindii hiki nimeona wengi wakiistafu. swali langi ni kuwa mbona kuna wakuu wa mikia wanaonekana watu wazima zaidi na bado wapo sujasikia kuwa wamestaafu. Mafn mkuu wa mkoa wa Dom, Mahenge na yule wa Mwanza.. au kuna kitu kingine kinazingatiwa.
Angalau iwe hivyoHuyo November anachukua mikoba ya Msigwa
Sajini imekula kwake.mla rushwa huyo kwa awamu hii Hana nafasi akafuge mbuziHabari zenu wana wa JF.
Nimepata habari saivi kuwa RAS Simiyu, Jumanne Sagini sio RAS tena na nafasi imezibwa na ofisa kutoka Ikulu. Je katenguliwa au ni upepo wa kustaafu uliorindima leo? Mwenye taarifa tafadhali atujuze.
Saj
Sajini imekula kwake.mla rushwa huyo kwa awamu hii Hana nafasi akafuge mbuzi
Nimeumia sana! Labda abadirishe mbinu!Pascal Mayalla hayumo tena? Too bad.
Utasababisha AROGWE!Huyo November anachukua mikoba ya Msigwa