GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,865
kila sehemu waislamu wananyanyasika sijui tuliikosea nini hii serikali
Mna Majungu Na Uswahili ULIOTUKUKA. Badilikeni Halafu Ningewashauri Badala Ya Kila Siku Kulalamika TEUZI Za Mkristo Rais Dr. Magufuli Mngejitafakari Ni Wapi Labda Huwa Mnakosea au Fanyeni Kitu Kizuri Chenye TIJA Ambacho Hata Viongozi WAKRISTO Wa Serikalini Waweze Kukiona Kuliko Huku Kulia Lia Kwenu. Huwa Ni MVUMILIVU Hasa Katika Masuala Haya Ya UDINI Humu JF Lakini Naona Hii Tabia Ya Waislamu KULALAMIKA Bila Hoja Za Msingi Zinazidi. Kama Vipi Anzisheni Basi Nchi Yenu MJITAWALE Wenyewe. Tumewachokeni! Mwisho Nakuomba Kafanye UTAFITI Wa TEUZI Zote Alizokuwa AKIZIFANYA Rais Mstaafu Wa Awamu Ya Nne Kikwete Je WAKRISTO Tulikuwa WANGAPI? Uliona TUKILALAMIKA Hovyo? Wakristo Tokea Shuleni TUMEFUNDISHWA UVUMILIVU, USTAARABU, AMANI, NIDHAMU, HOFU YA MUNGU NA Kubwa Zaidi KUJENGA Hoja. Nimemaliza!