Sisi Mbeya tunahitaji Kandoro tu aendelee,wateulie wengine huko
Uko shallow sana, sio jukumu langu kukuelewesha hapo. Subiri aje msamalia mwema akuambie.ndio watafanya nini ? timbwili haliangalii nani ni nani , uongozi ni collective responsibilities .
tusubiri ngumiUmenena jambo la maana sana!wakati haudanganyi tutapata jibu muda si mrefu.
Tuache wivu, jamaa anapiga kazi...Ni mapema sana P.Makonda kupewa Mkoa,huyo bado alitakiwa kua chini ya uangalizi maana hata hyo wilaya huwez kum_assess km aliimudu,Bado siasa za Mjomba za Kupeana Mkate znaendelea..
Hata wajeda muda ulishafika!Mbona muda wake wa kustaafu ulishafika alikuwa anasubiri tangazo tu!
Mkuu yawezekana akapangiwa majukumu mengine kawa Mh.aliona kuchacharika kwake.Mama Yangu Yaani Richard Kasesera Pamoja Na Kuvuka Kote Kule Mito, Kukwepa Viboko Na Mamba Huku Akikunja Suruali Zake Hadi Mapumbuni Na Kubeba Mgongoni Wanaojiweza Kuwavusha BADO TU KAUKOSA UKUU WA MKOA? Kweli Msubi ATABIRIKI.
Hongera sana mkuu tena sana. Mimi ni mmojawapo wa wale waliokusifu kwa wazo la usafiri bure kwa walimu. Ila sasa walimu wanakuomba uangalie ni jinsi gani ya kuwasaidia kuwawajibisha mafisadi wa CWT ofisi hii iko jirani na ofisi yako. Ukishindwa basi shauri nini kifanyike. Ninaandika haya kwa kuwa ninaimani nawewe ......list yote bdo haijatajwa ila bwana Makonda kashakabidhiwa jiji la Dar es Salaam
uliunga SANA MKONO HAPA KAZI TUUUChristinization at its best level...
Kwa style hii hatutafika mbali...miaka kumi siyo mingi insha allah
CCM mbele kwa mbele....Yaani wakuu wa mikoa 26 Waislam wapo 5?
Magufuli kwa style hii hatutafika mbali
huyohuyo, unamteuaje mhuni,asiye na hekima wala busara kwa nafasi kama ile. Nakumbuka ule usemi WA nambie rafiki yako nikuambie ulivyoAmeteuliwa na Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Ndugu John Joseph Pombe Magufuli
Agrey Mwanry jembe sana
Amechinjiwa baharini! Mwantumu Mahiza, chinjaaa! Dr. Rajabu chinjaaaaa! Nassoro Rufunga chinjaaaa!! AWAMU HII NOMAAAAA!Sisi Mbeya tunahitaji Kandoro tu aendelee,wateulie wengine huko