PAZIA 3
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 1,074
- 1,855
Nimeipata asubuhi hii, Rais amemtoa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF asubuhi hii.
Habari kamili inakuja...
======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Prof. Godius Kahyarara kuanzia leo tarehe 14 Julai 2018 na Badala yake amemteua Bw. William Erio kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF.
Prof. Kahyarara
William Erio
Habari kamili inakuja...
======
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Prof. Godius Kahyarara kuanzia leo tarehe 14 Julai 2018 na Badala yake amemteua Bw. William Erio kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF.
Prof. Kahyarara
William Erio