Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Butiama

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,445
3,378
Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi huyo, Alphonce Magori kutokana na utendaji wake wa kazi usioridhisha na nafasi yake itajazwa baadaye

Kupitia taarifa iliyotolewa na Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amewataka Wakurugenzi wote ambapo hospitali za wilaya zinajengwa kumaliza majengo hayo hadi ifikapo Juni 30 kama walivyoelekezwa

Waziri Jafo amesema atasikitishwa sana iwapo Wakurugenzi wa maeneo husika watashindwa kufikia malengo ya Serikali
 
Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi huyo, Alphonce Magori kutokana na utendaji wake wa kazi usioridhisha na nafasi yake itajazwa baadaye

Kupitia taarifa iliyotolewa na Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amewataka Wakurugenzi wote ambapo hospitali za wilaya zinajengwa kumaliza majengo hayo hadi ifikapo Juni 30 kama walivyoelekezwa

Waziri Jafo amesema atasikitishwa sana iwapo Wakurugenzi wa maeneo husika watashindwa kufikia malengo ya Serikali
View attachment 1110573
Julius Mtatiro ukisahaulika na hapa ndio basi tena!
 
Ila jafo mnafki Sana,Ana watu wake
Kuna mkurugenzi alifuja hela za stendi hadi mama Samia akagoma kuifungua manake haikuwa na ubora,ila hadi leo yupo anajililia kiyoyozi ofisini.Huu utawala ukikosa wa kukubeba utatumbuliwa asubuh,ila ukiwa mwenzao hata ufisadi mabilioni utabebwa tu, anyway this is Africa.
 
Ila jafo mnafki Sana,Ana watu wake
Kuna mkurugenzi alifuja hela za stendi hadi mama Samia akagoma kuifungua manake haikuwa na ubora,ila hadi leo yupo anajililia kiyoyozi ofisini.Huu utawala ukikosa wa kukubeba utatumbuliwa asubuh,ila ukiwa mwenzao hata ufisadi mabilioni utabebwa tu, anyway this is Africa.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Kibaha
 
Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi huyo, Alphonce Magori kutokana na utendaji wake wa kazi usioridhisha na nafasi yake itajazwa baadaye

Kupitia taarifa iliyotolewa na Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amewataka Wakurugenzi wote ambapo hospitali za wilaya zinajengwa kumaliza majengo hayo hadi ifikapo Juni 30 kama walivyoelekezwa

Waziri Jafo amesema atasikitishwa sana iwapo Wakurugenzi wa maeneo husika watashindwa kufikia malengo ya Serikali
View attachment 1110573
Serikalini hakuna "LEARNING CURVE"? Mtu ndio mara ya kwanza kuwa Mkurugenzi na wengine walitokea mitaani (hawana uzoefu na utumishi wa umma) anahitaji muda kujifunza hiyo kazi. Mtaani kugumu jamani msirudishe mtu huku
 
Lawama kivipi kama hau perform kwa matarajio yawajiri wako? Nambo ya kutofanya kazi yapo serikalini tu hujiulizi why? Umeyaona Vodacom? Tigo, Bahkresa?
Viongozi wanalalmika pesa za kodi zimeelekezwa serikali kuu halafu huku chini kuna miradi kibao, fungu kutoka hazina linakuja kiduchu kiduchu na halitoshi. .kama upo wilaya ambazo biashara zimelala ni lawama sana..
 
Serikalini hakuna "LEARNING CURVE"? Mtu ndio mara ya kwanza kuwa Mkurugenzi na wengine walitokea mitaani (hawana uzoefu na utumishi wa umma) anahitaji muda kujifunza hiyo kazi. Mtaani kugumu jamani msirudishe mtu huku
Na ususahau pia alikuwa anawania uteuzi wa kisiasa au ni mwanasiasa mbaya hajafanya kazi yoyote ya utumishi wa uma.
 
Back
Top Bottom