uchumi2018
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 1,424
- 1,966
Binafsi nampongeza mtukufu rais kwa kazi nzuri aliyoifanya.
Kwa sababu kipindi kilichoiwa "Kujivua gamba"
tuliaminishwa kwamba waliokumbwa na seke seke wakati ule
ndo peke yao walikuwa na magamba. Kumbe kuna wakati ule usemi
wa "Nyani haoni naniliu yake" ulitumika,leo hii tumempata
mtu wa kusimama pembeni kumnyooshea kidole nyani aliyewanyooshea kidole wenzie.
Hongera sana watanzania wote wapenda amani na maendeleo.
tuendelee kumuombea rais wetu na nchi yetu kwa ujumla
tunakoelekea ni pazuri zaidi.
Kwa sababu kipindi kilichoiwa "Kujivua gamba"
tuliaminishwa kwamba waliokumbwa na seke seke wakati ule
ndo peke yao walikuwa na magamba. Kumbe kuna wakati ule usemi
wa "Nyani haoni naniliu yake" ulitumika,leo hii tumempata
mtu wa kusimama pembeni kumnyooshea kidole nyani aliyewanyooshea kidole wenzie.
Hongera sana watanzania wote wapenda amani na maendeleo.
tuendelee kumuombea rais wetu na nchi yetu kwa ujumla
tunakoelekea ni pazuri zaidi.