Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Kweni kabla hajawa rais kwa nini hakupata hyo hasira aje aipate ghafla sasa hv?yani waTZ bwana dah!
Kuuliza si ujinga.Ninauhakika gani kama ameinunua juzi??Na hasira inapimwa wakati au muda?
Kweni kabla hajawa rais kwa nini hakupata hyo hasira aje aipate ghafla sasa hv?yani waTZ bwana dah!
Na mimi nashangaa kwa nini unashangaa Rais ana silaha, hivi unajua kulenga shabaha ni hobby?
Anaapenda sana kutumia media kwa kila kitu, why media?
Anasemaga tumuombee Mungu amlinde,ku na haja gani tena!Nahisi haamini waliokaribu yake
Hivo anajilinda na yeye pia
Jifunze kuacha chuki kwenye mambo ya kawaida...Raisi ni taasisi..media lazima iandike na ameonyesha mfano kutii sheria....mambo mengine tuchangie tukiwa "sober"..ili kuweka heshima na akiba itakayokuwezesha angalau kuwa na fursa ya majadiliano!Yaani sasa kulikuwa na haja gani ya Rais kupiga picha na kusambaza huku akionyesha hadharani silaha anayomiliki?
Hivi ni Ulimbukeni au ni kujisahau tu?
Ashauriwe maana sioni kama utetezi wa Kuwa anaonyesha mfano mwema utakuwa na maana.
1) Kama marais wote walikuwa wanamiliki silaha siyo hojaKwa hiyo ina maana marais waote walikuwa wanamiliki silaha.Tatizo sijawahi kuwaona wakijionyesha publically,labda ndiyo ujinga wangu unapofikiria
Sawa kkAsante
Nadhani alikwenda kuhakiki sasa ulitaka ile silaha aikodishie TAXI, kuibeba kwa wakati ule sidhani kama anamaanisha anatembea nayo wakati wote, kumbuka miezi 6 ilopita alikuwa ni waziri tu na hakuwa rais, Je? ulitaka baada ya kuapishwa aitupe baharini?? ni kwamba ameihifadhi ndani na kwa vile uhakiki wa silaha kunahitajika na silaha yenyewe hakuwa na budi kuibeba na kuipeleka.I don't get it that Rais anatembea na silaha wakati anao walinzi wanaomzunguka muda wote wakiwa na silaha za kumlinda?
Maswala ya utekelezaji wa jambo akitumia media ni vyema hii inaleta muamko, kwa raia wakawaida kulichukulia umuhimu swala lile kwa kupitia mfano wa rais.Anaapenda sana kutumia media kwa kila kitu, why media?
Hukuona hayo kwa sabab kipindi hicho wakuu wa mikoa hawakuwa kutoa agizo kama la Makonda. Na ukumbuke miezi 6 ilopita alikwua ni waziri tu kumiliki silaha ni kawaida, na katika uhakiki ni lazima aibebe haikuwa na jinsi na baada ya hapo anazifungia kabatini mpaka baada ya miaka 5 au 10 akiondoka madarakani.Hii hata kama sifa imezidi.SIjawahi kuona toka enzi za JKN mpaka Kikwete,Rais kuwa na silaha.Walinzi wote wale ikulu.Au yuko first kutumia kuliko walinzi wake??Imenipa shida,nadhani hata walinzi wake itakuwa imewapa shida kumuelewa.
Simjui Magufuli,ninamfahamu tu kwamba ndiyo Rais ,na kabla ya hapo nilikuwa namfahamu tu kama Waziri wa Barabara,mengine ni Maisha yake sina tabia ya kuyafuatilia maisha ya wanasiasa wala ya binadamu mwingine.
Hongera kwa kumjua
Haaaaa kumbuka alipitaga JKT na ujue kuwa mtu anavyokuwa rais anafundishwa self-defense ni kama course maalum kwa rais hili ikitokea tatizo lolote yeye mwenyewe anaweza kujiokoa,so linawezekana pia akawa yupo fast kuliko walinzi wakeUnauhakika yuko fast kuliko wanaomlinda.Hiyo tu.
Haaaaa kumbuka alipitaga JKT na ujue kuwa mtu anavyokuwa rais anafundishwa self-defense ni kama course maalum kwa rais hili ikitokea tatizo lolote yeye mwenyewe anaweza kujiokoa,so linawezekana pia akawa yupo fast kuliko walinzi wake