Wakwanza ni babako kutwa TBC taifamnaotazama TBC mna roho ngumu sana
Wamekunywa maji ya bendera hao, achana nao 2endelee na maisha wackuumize kichwaIngefanywa GIZANI nadhani ungelalama zaidi ya ulivyolalama sasa.....Aliye waroga nyie SIJUI YUPO WAPI JAMANI......daaaah
Kweli kabisa mkuuIngefanywa GIZANI nadhani ungelalama zaidi ya ulivyolalama sasa.....Aliye waroga nyie SIJUI YUPO WAPI JAMANI......daaaah
Hahaha...hivi TBC kwanini lakini? dahWadau,
Muda huu Kama dakika tano zilizopita TBC wameleta habari mpasuko (breaking news) kuwa kesho rais Magufuli atapokea report ya tume aliyoiunda kuchunguza mchanga wa dhahabu. Hivi hii nayo ni habari mpasuko? Tukio ambalo bado halijatokea wanaliita habari mpasuko.
Siku akipokea na report ya nape ya uvamizi wa clouds atuambie tumsikilize
Wameona hawana pakujifunika hao...Wamechelewa naskia acacia ndo wanafunga mgodi 2019 wanatuachia shimo. [HASHTAG]#CCM[/HASHTAG] NI JIPU KUU
Madini yaneisha mkuu ndo wanamalizia maliziaWameona hawana pakujifunika hao...
nyie ndio maajabu ya wa tz. yaani unaona huo ni upuuzi. ulitaka iwe kimyakimya au sio? kusudi uweze kuzua uongo.Muda huo si mlituambia watanzania tuchape kazi na mpaka bunge mkalizima ili tu tuchape kazi??
Hivi mbona JK hakuwa na upuuzi kama huo?
Kwani hata wakipiga porojo zao kesho tutapata nini?? Mlianza kupiga porojo bandari ufanisi huko umeendelea? Mizigo imeongezeka huko kuliko kipindi cha JK? Mkatupigia porojo na pesa zenu kwenye mabenki ya biashara sasahivi Private sector iko mahututi.. Endeleeni na porojo na upuuzi wenu hakuna kitakachobadilika..nyie ndio maajabu ya wa tz. yaani unaona huo ni upuuzi. ulitaka iwe kimyakimya au sio? kusudi uweze kuzua uongo.
Umemjibu sawa sawia wamerogwa nyumbuIngefanywa GIZANI nadhani ungelalama zaidi ya ulivyolalama sasa.....Aliye waroga nyie SIJUI YUPO WAPI JAMANI......daaaah
Kesho mbivu mbichi kujulikana. Ngoja tuone kazi ya Maprofesa itakuwa bomba au pumba! Yetu masikio
Aitusaidii serikali hii ni ya kikiIngefanywa GIZANI nadhani ungelalama zaidi ya ulivyolalama sasa.....Aliye waroga nyie SIJUI YUPO WAPI JAMANI......daaaah