Mocumentary
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 768
- 1,959
Rais Magufuli ametangaza rasmi kuwa kesho Oktoba 28, 2020 itakuwa ni siku ya mapumziko ya Kitaifa ili kuwapa fursa Watanzania wote wenye sifa za kupiga kura kwenda kupiga kura "nawaomba tukapige kura, amani ikatawale wakati wa kupiga na baada ya kupiga kura" Rais Magufuli
===
Rais Dk. John Magufuli ametangaza rasmi kuwa kesho Jumatano Oktoba 28, 2020 itakuwa ni siku ya mapumziko ya Kitaifa ili kuwapa fursa Watanzania wote wenye sifa za kupiga kura kwenda kupiga kura; “nawaomba tukapige kura, amani ikatawale wakati wa kupiga na baada ya kupiga kura.”
===
Rais Dk. John Magufuli ametangaza rasmi kuwa kesho Jumatano Oktoba 28, 2020 itakuwa ni siku ya mapumziko ya Kitaifa ili kuwapa fursa Watanzania wote wenye sifa za kupiga kura kwenda kupiga kura; “nawaomba tukapige kura, amani ikatawale wakati wa kupiga na baada ya kupiga kura.”