mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,772
- 2,171
Rais Magufuli alipoingia madarakani alikuta JK amemwachia zigo la watumishi hewa, vyeti feki n.k.
Rais Magufuli alilalamika sana kuhusu zigo hili ambalo bahati nzuri amefaikiwa kulitatua.
Nionavyo mimi Rais Magufuli naye atamwachia mrithi wake zigo la Wamachinga waliovamia barabara za mijini na kutandaza biashara zao pale bila wasiwasi yoyote kwa kuwa kuna mari iliyotoka kwamba wasibugudhiwe.
Sehemu za parking zimevamiwa hivyo kukosesha mapato kwa Halmashauri za miji. Yaani ni total anarchy.
Kwa hakika hali hii isipobadilika hili litakuwa mojawapo ya zigo ambalo Rais Magufuli atamwachia mrithi wake.
Rais Magufuli alilalamika sana kuhusu zigo hili ambalo bahati nzuri amefaikiwa kulitatua.
Nionavyo mimi Rais Magufuli naye atamwachia mrithi wake zigo la Wamachinga waliovamia barabara za mijini na kutandaza biashara zao pale bila wasiwasi yoyote kwa kuwa kuna mari iliyotoka kwamba wasibugudhiwe.
Sehemu za parking zimevamiwa hivyo kukosesha mapato kwa Halmashauri za miji. Yaani ni total anarchy.
Kwa hakika hali hii isipobadilika hili litakuwa mojawapo ya zigo ambalo Rais Magufuli atamwachia mrithi wake.