Rais Magufuli ashiriki mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)

Ujumbe wa maandishi wa Mh. Rais John Pombe Magufuli umewasilishwa na Mh. Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan kuusoma kama ulivyo huku ujumbe ukiwakilishwa wa wakuu wa nchi ktk kikao cha mtandaoni kupitia mkalimani .

Kwa kuwa ujumbe wa Mh. Magufuli uliwasilishwa kwa lugha mojawapo rasmi ya kikazi ya Jumuiya ya EAC na hapa ni kiSwahili hivyo ikalazimika mkalimani kutumika kuiwasilisha ktk lugha nyingine rasmi ya Jumuiya ya EAC ambayo ni Kiingereza.
 
Katika hao washiriki nani hajui kiswahili?

Nimeona marais wa Burundi, Rwanda, Kenya wametumia lugha ya Kiingereza huku Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu wa Tanzania amewasilisha ujumbe kwa lugha ya KiSwahili kutoka kwa Mh. Rais John Pombe Magufuli. Lugha zote mbili za kiSwahili na Kiingereza ni lugha rasmi za kikazi za Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC
 
Ulikuwa unashiriki hicho kikao?

27 February 2021

21st EAC Heads of State Summit​


The East African Community EAC) is a regional intergovernmental organisation of six (6) Partner States, comprising Burundi, Kenya, Rwanda, South Sudan, Tanzania and Uganda, with its headquarters in Arusha, Tanzania.
Source : East African Community
 
Iv kwann uhutu kenyatta ana nenepa kipindi hiki cha muhula wake wa mwisho alafu mbona jpm hanenepi ? Eiiiiiiiii hapa kazi tu
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akishiriki mkutano wa 21 wa kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki unaofanyika leo tarehe 27 Februari, 2021 kwa njia ya mtandao.

Chanzo: Msemaji Mkuu wa Serikali

View attachment 1713115

View attachment 1713116
Acheni kudanganya watu alishiriki hiki kikao ni Makamu wa Rais mama Samia.
 
Aliyeshiriki hiki kikao ni mama samia .
Mnapiga picha ya Camera mnasema Rais ameshiriki ,ameshiriki wapi ?
 

Attachments

  • IMG_20210227_191715.jpg
    IMG_20210227_191715.jpg
    83.3 KB · Views: 1
Watu wengi hudhani changamoto za John Mnyika ni lugha tu.

Wanasahau kwamba hata man to man conversation kwake ni mtihani.

Huwa anapenda yeye ndio awe in control, yaani aongee yeye tu nyie wengine wote mumsikilize, iwe anakosea au anapatia shauri zenu.

Ndio maana piga uwa hataki kusikia kitu kinaitwa interview.
 
Watu wengi hudhani changamoto za John Mnyika ni lugha tu.

Wanasahau kwamba hata man to man conversation kwake ni mtihani.

Huwa anapenda yeye ndio awe in control, yaani aongee yeye tu nyie wengine wote mumsikilize, iwe anakosea au anapatia shauri zenu.

..ndio maana piga uwa hataki kusikia kitu kinaitwa interview.
Hilo ndio tatizo kubwa, la lugha ni nyongeza ndogo tu. Yaani huu ni uthibitisho kuwa tiss ni kikundi fulani cha ccm na kipo kwa ajiri ya matumbo yao na sio kwa ajiri ya nchi.
 
Nimesoma gazeti la EA online, Magufuli hakuhudhuria alimtuma mama Samiah Suluhu kumuwakilisha.

Everyday is Saturday............................... :cool:
 
Watu wengi hudhani changamoto za John Mnyika ni lugha tu.

Wanasahau kwamba hata man to man conversation kwake ni mtihani.

Huwa anapenda yeye ndio awe in control, yaani aongee yeye tu nyie wengine wote mumsikilize, iwe anakosea au anapatia shauri zenu.

..ndio maana piga uwa hataki kusikia kitu kinaitwa interview.
Umeharibu tu kumweka "John Mnyika".

Mengine yote umepatia kabisa.
 
Back
Top Bottom