barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
Habari!
Hii haionyeshi hali nzuri, Rais wa nchi ambaye huwa anajinadi kukipigia debe kiswahili katika anga za kimataifa, yeye ndio yuko mstari wa mbele kutokukitumia kwa ufasaha.
Rejea hotuba yake Uganda hapo jana, kwa kweli mie ananikinaisha sana anavyotumbukiza tumbukiza maneno ya kizungu wakati kaamua kuongea kiswahili, kama vipi, apige tu kizungu mwanzo mwisho.
Kama ni kiswahili basi asichanganye.
Hii haionyeshi hali nzuri, Rais wa nchi ambaye huwa anajinadi kukipigia debe kiswahili katika anga za kimataifa, yeye ndio yuko mstari wa mbele kutokukitumia kwa ufasaha.
Rejea hotuba yake Uganda hapo jana, kwa kweli mie ananikinaisha sana anavyotumbukiza tumbukiza maneno ya kizungu wakati kaamua kuongea kiswahili, kama vipi, apige tu kizungu mwanzo mwisho.
Kama ni kiswahili basi asichanganye.