Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,188
- 79,404
acha ku-support hii maneno italeta vurugu nyumba za Ibada utii wa mamlaka zilizopo ni muhimu! Kumbuka jamaa kasema inakuwaje viongozi wanafunga nyumba za Ibada ambazo zimejengwa na waumini? Je principle hiyo ni upande wa imani tu au na hata serikalini kwamba wananchi nao waende kinyume na uongozi kwa vile serikali inaendeshwa na kodi zao?Hata yeye ni muumini wa kanisa, usisahau hilo.
Kama yeye hana haki ya kutoa ushauri basi hata wewe huna haki.