ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,635
- 90,029
Swala la fundraising katika hilo kanisa limekuwa na mvutano mkubwa sana. Kipindi cha karibia na uchaguzi, walitaka kumualika EL ila wakaona it would cause political unrest ndani ya kanisa, kwa vile yule alikuwa anautaka uraisi.weng hawakunielewa !kuna makanisha yanatabia za kuingiza sana siasa makanisan km kanisa fulan !mie na kurud nyuma kwangu sijawah sikia siasa za mahubiri kwa wasabato ! huo ni ukweli tupu hutasikia mchungaj anahubiri kumsifia rais had mwisho wa iobada sda hakunaga hizo nakuambia !wanahubiri neno watu watubu wamjue Mungu wao
This time it's different, huyu tayari ni raisi, japo yupo pale kwa mgongo wa siasa lakini hana mvutano tena, binafsi naona it's fine yeye kuja kuabudu na sisi, hakuna ubaya yeye kuja kuabudu na sisi, wazee na wachungaji kumsifia n kuisifia serikali hilo ni kawaida. Hata kama serikali ina mapungufu, hawawezi kuyasema wazi mbele ya halaiki.
Aje aabudu, kama kuna sehemu anakosea huenda injili ikamuingia akabadilika. Hata Yesu hakuja kwa ajili ya wasafi, bali wenye dhambi.