Rais Magufuli aridhia Jaji Mwendwa Judith Malecela kujiuzulu

Mwana Mpotevu

Platinum Member
Sep 7, 2011
3,295
2,500
Rais Magufuli amekubali kujiuzulu kwa Jaji mwingine leo hii Jumanne 20 Juni.

Jaji Mwendwa Judith Malecela amekubaliwa kujiuzulu kuanzia leo. Sababu haijasemwa na Ikulu katika taarifa yake leo hii.

======

IKULU, DAR: Rais Magufuli, ameridhia ombi la Jaji wa Mahakama Kuu Mwendwa Judith Malecela kujiuzulu nafasi hiyo kuanzia siku ya leo.

dedc1136-b3a6-4f6f-b203-c8222a0759ee.jpg
 

Attachments

  • jaji.jpg
    jaji.jpg
    101.2 KB · Views: 88
Rais Magufuli amekubali kujiuzulu kwa Jaji mwingine leo hii Jumanne 20 Juni.

Jaji Mwendwa Judith Malecela amekubaliwa kujiuzulu kuanzia leo. Sababu haijasemwa na Ikulu katika taarifa yake leo hii.
Aondoke tu. Ameingia kwenye kumi za Anas nini?Sawa bwana tumesikia.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom