kamanda mbigi
JF-Expert Member
- Feb 8, 2017
- 1,241
- 1,546
Nafasi hiyo apewe le mutuz.......familia ya malecela sijui imemkosea nini magu....alianza mama wakafata watoto
Ajiuzulu kwa lipi? Nimesikia huko Dominica wamezuia shehena fulani halali ya dhahabu isitoke hadi mkataba uliokuwepo upitiwe upya. Ni kama ameshaweka dira ya kimataifa hivi ya mataifa machanga kujikwamua toka mikataba mibovu. Mheshimiwa hatajiuzulu kwa sababu wananchi wengi bado wanampenda na wanamuunga mkono mimi nikiwa mmoja wao. Achana na tafiti za "Twaweza."Magufail soon nae atajiuzulu.
Usilazimishe mambo mkuu. Hujui lolote katika hilo.Ile kesi aliyotoa dhamana kwa wale wapakistani wauza sembe wakakimbia nchi umeisahau!? Au ni katika muendelezo wako wa kujifanya mgonjwa wa ile Hospitali maarufu ya Dodoma Mirembe!
Kanawe miguu ulale.
Shusha chandarua ulale mkuu.Usilazimishe mambo mkuu. Hujui lolote katika hilo.
Unaishi zama za mawe wakati watu karibu tutaachana na matumizi ya nishati ya mizoga.w
Ajiuzulu kwa lipi? Nimesikia huko Dominica wamezuia shehena fulani halali ya dhahabu isitoke hadi mkataba uliokuwepo upitiwe upya. Ni kama ameshaweka dira ya kimataifa hivi ya mataifa machanga kujikwamua toka mikataba mibovu. Mheshimiwa hatajiuzulu kwa sababu wananchi wengi bado wanampenda na wanamuunga mkono mimi nikiwa mmoja wao. Achana na tafiti za "Twaweza."
Hujui lolote. Mara Escrow,mara Wapakistani. Kazi kuropoka tu.Shusha chandarua ulale mkuu.
Kujiuzulu bila kujulikana sababu, tena ni jaji wa tatu mwaka huu, kunavutia kuhoji mkuu.Kujiuzulu ni haki ya kila mtumishi. Jaji Malecela amefaidi haki yake.
Wapi nimeongelea Escrow ewe kibaraka wa wahujumu Uchumi!?Hujui lolote. Mara Escrow,mara Wapakistani. Kazi kuropoka tu.
hawataki kuwa part ya kitu gani?!!!! Mbona mnaenda mbali mno...Kwanini ufikirie kisichokuwepo?
Umeongea kama unajua lolote mkuu kumbe uchochezi mtupu!!!! Soma
Wala RUSHWA wengi wataondoka wenyewe kidogo kidogo na wale ambao wanaona maslahi yao yako mashakaniNi kazi ngumu kwa muumini wa kufanya kazi kwa weledi kudumu katika zama za huyu ndugu yetu wa makinikia
Pia kuna alikuwa anatumiwa peke yake kesi za Madawa ya kulevya, na zote alilamba mkwanja mrefu.Petro, hiyo ni sawa. Lakini lazima zipo sababu ....kama wale majaji wsliojiuzulu majuzi..wote walipewa mgao na Rugemalira.
Wa ugirikiMgiriki yupi?
Mbona kwenye hiyo list kuna wahaya wengi.Labda yumo kwenye mgaoView attachment 527503
Alikuwa mgonjwa nadhani ndio sababu.