Rais Magufuli apokea zawadi ya sanamu ya Bikira Maria Ikulu Dar

Mkuu hao kanisa katoliki wanajulikana kwa unafiki hatuwashangai. Kwa yanayoendelea nchini hivi sasa angekuwa Rais ni Muislam ungeona kukithiri kwa matamko ya kanisa dhidi ya utawala. Huyu wa sasa ni mwenzao wamefyata mikia yao kama hawapo vile.
Maneno yako sio ya kweli.
Kama una kumbukumbu, Muadhama Kardinari Pengo aliwahi kutoa tamko la kumwelezea
Raisi Kikwete kuwa ni "chaguo la Mungu" na wengi walimpinga sana.
Halafu unatoa kauli za jumla kuwa
"hao Kanisa Katoriki wanajulikana kwa unafiki"
Unamaanisha Wakatoriki wote ni wanafiki.
Wewe sema nani alifanya unafiki gani na lini, ndio utaeleweka na wasomaji wako.
 
Maneno yako sio ya kweli.
Kama una kumbukumbu, Muadhama Kardinari Pengo aliwahi kutoa tamko la kumwelezea
Raisi Kikwete kuwa ni "chaguo la Mungu" na wengi walimpinga sana.
Halafu unatoa kauli za jumla kuwa
"hao Kanisa Katoriki wanajulikana kwa unafiki"
Unamaanisha Wakatoriki wote ni wanafiki.
Wewe sema nani alifanya unafiki gani na lini, ndio utaeleweka na wasomaji wako.

Kauli ya JK kuwa kuwa chaguo la Mungu haikutolewa na Kadinali Pengo bali ilitolewa na Askofu Kilaini mwanzoni kabisa wakati JK alipochaguliwa na kanisa likiwa na imani naye. Lakini imani ya kanisa katoliki dhidi ya JK ilipotoweka kanisa likazidisha harakati za kumpinga na kutoa matamko usiku na mchana wakiwaaminisha Watanzania kuwa kiongozi wetu hafai. Lakini cha ajabu kanisa hilohilo limekaa kimya kwa huyu mkatoliki mwenzao japo anachemsha kinoma. Na unafiki wa kanisa katoliki duniani kote unajulikana sana tu labda kama wewe huifahamu historia. Rejea historia utalijua vizuri kanisa lako mkuu.
 
Madanganyo ya ukatoliki kuhusu dhambi ya asili:

Je! Umewahi kuona uso wa mtoto aliyezaliwa, ukagusa ngozi nyembamba ya mashavu yake ya rangi nyororo, na ukahisi hatia yake wakati ukiangalia macho yake mazuri? Kwa kulinganisha kabisa, mafundisho ya Kikatoliki yanasema kwamba "watoto wadogo huzaliwa na dhambi!" Katekisimu ya Kanisa Katoliki inasema hivi:


Yeyote aliyezaliwa na asili ya kibinadamu iliyoanguka na kuharibiwa na dhambi ya awali, huhitaji kuzaliwa upya katika Ubatizo ili kuwekwa huru na nguvu za giza na kufanywa watoto wa Mungu, ambako watu wote wanaitwa (1994)

Kwa upande wake Bibilia ambayo ndio kiongozi wa kweli za Mungu inafundisha kwamba watoto hawarithi dhambi za wazazi wao (Kutoka 32: 32-33, Kumbukumbu la Torati 24:16, 2 Wafalme 14: 6, 2 Mambo ya Nyakati 25: 4, Yeremia 31:30; Ezekieli 18:20). Hata hivyo, Wakatoliki huharakisha kusema kwamba Daudi alisema: "Tazama, nilizaliwa kwa uovu, na mama yangu aliniumba kwa dhambi" (Zaburi 51: 5). Ili kuelewa kifungu hiki, ni lazima tukumbuke kwamba sura ya Zaburi 51 ni dhambi ya Daudi, si dhambi ya awali. Fikiria lugha alizotumia Daudi kuonyesha kwamba dhambi aliyokuwa akizungumzia ni dhambi aliyofanya: "Ondoa makosa yangu" (mstari wa 1); "Nioshe kabisa uovu wangu, na kunitakasa kutoka kwa dhambi yangu" (vs. 2); "Ninakubali makosa yangu, na dhambi yangu daima i mbele yangu" (mstari wa 3); "Kwako Wewe, Wewe pekee, nimefanya dhambi" (mstari wa 4); Hakuna hata uhusiano mdogo kwa aina fulani ya dhambi ya asili katika maombi ya mtunga-zaburi. Kwa kweli, ilikuwa ni kutokana na dhambi yake na makosa ambayo mtunga-zaburi aliyafanya na alitamani kuokolewa kutoka kwayo.

Lakini, kwa nini alielezea wakati ambapo aliumbwa tumboni mwa mama yake? Mtunga Zaburi aliluwa akitumia kauli ya kinyenyekevu zaidi ambayo ukiipima vizuri haikumsisha na dhambi za wazazi wake (tazama Zaburi 58: 3). Kauli hii ilikuwa na lengo la kusisitiza hali ambayo mama yake alimzaa katika ulimwengu uliofunikwa, kukabiliwa, na kuathiriwa na dhambi ingawa yeye mwenyewe hakuzaliwa na dhambi.
Usitujazie vifungu vya verses Ile dhambi ilifanywa na Adam na Eva wewe umefuata nini humu dunia ya kutoka jasho ungebakia huko huko Eden ule bata....Utaratibu wa MWENYEZI tofauti na binadamu!
 
Luke 1. 48
For he has looked upon his handmaid’s lowliness;

behold, from now on will all ages call me blessed.y
sasa huo mstari mbona hauendani. Kumwita mbarikiwa hakumfanyi kuwa mwombezi na by the way wabarikiwa ni wengi katika Biblia.
 
Usitujazie vifungu vya verses Ile dhambi ilifanywa na Adam na Eva wewe umefuata nini humu dunia ya kutoka jasho ungebakia huko huko Eden..Utaratibu wa MWENYEZI tofauti na binadamu!

mie najua nnakopata maneno ninayoyasema ndo maana naquote the bible sio kulishwa mambo ya kishetani ya ukatolilki. huo unaouita utaratibu wa MWENYEZI ni kwa mujibu wako wewe na wapagani wengine, sio biblia lililo neno la Mungu ambalo mimi naquote.
 
Kauli ya JK kuwa kuwa chaguo la Mungu haikutolewa na Kadinali Pengo bali ilitolewa na Askofu Kilaini mwanzoni kabisa wakati JK alipochaguliwa na kanisa likiwa na imani naye. Lakini imani ya kanisa katoliki dhidi ya JK ilipotoweka kanisa likazidisha harakati za kumpinga na kutoa matamko usiku na mchana wakiwaaminisha Watanzania kuwa kiongozi wetu hafai. Lakini cha ajabu kanisa hilohilo limekaa kimya kwa huyu mkatoliki mwenzao japo anachemsha kinoma. Na unafiki wa kanisa katoliki duniani kote unajulikana sana tu labda kama wewe huifahamu historia. Rejea historia utalijua vizuri kanisa lako mkuu.
Hata hivyo Askofu hajakosea...Mungu wakati woote hachagui kiongozi Mbaya au mzuri, kama hamna adabu na Kumheshimu Yeye, anawapa kiongozi wa kuwatia adabu ili mjue yeye Yupo....
 
The brain was a terrible thing to waste! Yani maandiko yanasema waziii, bila Ata fumbo, we unatuletea tafsiri zako ulizoamua wewe, umetisha.
TAFADHALI WAWEZA KUNIELEZA HILI NENO KANISA YESU ALILIZUNGUMZA ? NINA SHAKA NA HIL NENO NILITEGEMEA KUONA SINAGOGI KWA VILE HII HAKUWEPO KWENYE VOKABLARI YA WAYAHUDI. SASA NAOMBA BASI MTU ALIYE NA Mneno kamili aliyozungumza YESU atupe kwani wakati huo sitegemei k6likuwa na neno kanisa
 
mie najua nnakopata maneno ninayoyasema ndo maana naquote the bible sio kulishwa mambo ya kishetani ya ukatolilki. huo unaouita utaratibu wa MWENYEZI ni kwa mujibu wako wewe na wapagani wengine, sio biblia lililo neno la Mungu ambalo mimi naquote.
MWENYEZI ametupandia Neno lake kupitia Dhamira Njema aliyo Tuumbia ndani Mwetu...ukiona mtu amekomaa Mimi Biblia tu...wakati Biblia yenyewe imejieleza sio Neno Pekee la Mungu; ujue mtu huyo Dhamira Njema ndani yake Imejifia usishangae akafanya uovu na kujitetea kwamba hauja andikwa kwenye Biblia huo ni uovu wee jidunge ndoba usepe..MAMA BIKIRA MARIA UTUOMBEE SASA NA SAA YA KUFA KWETU!
 
Kauli ya JK kuwa kuwa chaguo la Mungu haikutolewa na Kadinali Pengo bali ilitolewa na Askofu Kilaini mwanzoni kabisa wakati JK alipochaguliwa na kanisa likiwa na imani naye. Lakini imani ya kanisa katoliki dhidi ya JK ilipotoweka kanisa likazidisha harakati za kumpinga na kutoa matamko usiku na mchana wakiwaaminisha Watanzania kuwa kiongozi wetu hafai. Lakini cha ajabu kanisa hilohilo limekaa kimya kwa huyu mkatoliki mwenzao japo anachemsha kinoma. Na unafiki wa kanisa katoliki duniani kote unajulikana sana tu labda kama wewe huifahamu historia. Rejea historia utalijua vizuri kanisa lako mkuu.
Umejuaje kama mimi ni Mkatoliki ?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MWENYEZI ametupandia Neno lake kupitia Dhamira Njema aliyo Tuumbia ndani Mwetu...ukiona mtu amekomaa Mimi Biblia tu...wakati Biblia yenyewe imejieleza sio Neno Pekee la Mungu; ujue mtu huyo Dhamira Njema ndani yake Imejifia usishangae akafanya uovu na kujitetea kwamba hauja andikwa kwenye Biblia huo ni uovu wee jidunge ndoba usepe..MAMA BIKIRA MARIA UTUOMBEE SASA NA SAA YA KUFA KWETU!
Biblia inapojieleza hivi mnaifuata?


Kwa sababu mimi sikunena kwa nafsi yangu tu; bali Baba aliyenipeleka, yeye mwenyewe ameniagiza nitakayonena na nitakayosema. Nami najua ya kuwa agizo lake ni uzima wa milele; basi hayo ninenayo mimi, kama Baba alivyoniambia, ndivyo ninenavyo.

Yohana 12.49-50



Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka.

Yohana 5.30


Basi Yesu, hali akiugua tena nafsini mwake, akafika kwenye kaburi. Nalo lilikuwa ni pango, na jiwe limewekwa juu yake. Yesu akasema, Liondoeni jiwe. Martha, dada yake yule aliyefariki, akamwambia, Bwana ananuka sasa; maana amekuwa maiti siku nne. Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu? Basi wakaliondoa lile jiwe. Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba nakushukuru kwa kuwa umenisikia. Nami nalijua ya kuwa wewe wanisikia siku zote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nalisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma.

Yohana 11.38-42




Sent using Jamii Forums mobile app
 
MWENYEZI ametupandia Neno lake kupitia Dhamira Njema aliyo Tuumbia ndani Mwetu...ukiona mtu amekomaa Mimi Biblia tu...wakati Biblia yenyewe imejieleza sio Neno Pekee la Mungu; ujue mtu huyo Dhamira Njema ndani yake Imejifia usishangae akafanya uovu na kujitetea kwamba hauja andikwa kwenye Biblia huo ni uovu wee jidunge ndoba usepe..MAMA BIKIRA MARIA UTUOMBEE SASA NA SAA YA KUFA KWETU!

wapi umeokota huo upupu kuwa Biblia sio neno pekee la Mungu. yaani wewe na wenzako mnatia huru na mshukuru Mungu kuwa neema yake bado haijafungwa. bado anazizuia pepo ili vipofu kama nyinyi mpate kuona kwanza. yaani kwa mujibu wako mimi nikutunga vitu vyangu vya Yesu yesu hapa hata kama vinapingana na Biblia nikipiga makelele hii nalo ni neno la Mungu utakubali tu hata kama inafail kwenye test za Biblia. Acha ushetani wa kikatoliki utapotea ukijiona usipumbazwe na wingi wa wanaopotea. Kumbukeni sodoma na ghomorrah.
 
Biblia inapojieleza hivi mnaifuata?


Kwa sababu mimi sikunena kwa nafsi yangu tu; bali Baba aliyenipeleka, yeye mwenyewe ameniagiza nitakayonena na nitakayosema. Nami najua ya kuwa agizo lake ni uzima wa milele; basi hayo ninenayo mimi, kama Baba alivyoniambia, ndivyo ninenavyo.

Yohana 12.49-50



Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka.

Yohana 5.30


Basi Yesu, hali akiugua tena nafsini mwake, akafika kwenye kaburi. Nalo lilikuwa ni pango, na jiwe limewekwa juu yake. Yesu akasema, Liondoeni jiwe. Martha, dada yake yule aliyefariki, akamwambia, Bwana ananuka sasa; maana amekuwa maiti siku nne. Yesu akamwambia, Mimi sikukuambia ya kwamba ukiamini utauona utukufu wa Mungu? Basi wakaliondoa lile jiwe. Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba nakushukuru kwa kuwa umenisikia. Nami nalijua ya kuwa wewe wanisikia siku zote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nalisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma.

Yohana 11.38-42




Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo mistari ndio inafundisha kwamba Biblia Takatifu ni Neno Pekee la Mungu
 
wapi umeokota huo upupu kuwa Biblia sio neno pekee la Mungu. yaani wewe na wenzako mnatia huru na mshukuru Mungu kuwa neema yake bado haijafungwa. bado anazizuia pepo ili vipofu kama nyinyi mpate kuona kwanza. yaani kwa mujibu wako mimi nikutunga vitu vyangu vya Yesu yesu hapa hata kama vinapingana na Biblia nikipiga makelele hii nalo ni neno la Mungu utakubali tu hata kama inafail kwenye test za Biblia. Acha ushetani wa kikatoliki utapotea ukijiona usipumbazwe na wingi wa wanaopotea. Kumbukeni sodoma na ghomorrah.
Wapi Yesu aliagiza Anacho Fundisha kiandikwe? Jee Yesu alitembea na King jemsi kama unayo beba wewe kwapani? Acheni kutuonyesha ufanatic wenu'...
 
Back
Top Bottom